Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,758
Wachina hawa??
wamefanya nn? Mimi nimeona vituo viko poa! Hicho cha Mwanza ndio nakingoja!Wachina hawa??
Kabla wafike manzese me naona warekebishe kwanza Kinondoni zote na magomeni, kuanzia magomeni sunna, kanisani, magomeni mikumi, magomeni mapipa, magomeni kota, mwmbechai mpaka kagera, kote huku kunahitaji renovation Moja ya kibabe sana, mpaka kule upande wa kigogo .Potential areas kama Manzese,tandale ama mwananyamala...wangefanya upgrades sababu ni maeneo yapo karibu na mjini...wangebomoa nyumba wapange upya mji...hata nyumba zao zingeuzika kiurahisi ...wakibomoa squatre taratibu mji unapangika...Na kingine wasisahu kuondoa huu utaratibu wa frames kwa kujenga shopping centres...masoko ya kisasa nk...itakua rahisi kuwabana traders kulipa kodi na kutumia machine za efd
Huyu jamaa mmiliki wa Mwanga tower ndiye mwenye Derm house, Hq ya Tigo
Ni Mpare nn? Hilo jina Mwanga ni jina la sehemu au mtu?Huyu jamaa mmiliki wa Mwanga tower ndiye mwenye Derm house, Hq ya Tigo
Mpare wa Ugweno (Mringo)Ni Mpare nn? Hilo jina Mwanga ni jina la sehemu au mtu?
Wanaanza na mikoa 5,nimesikia Dar, Mwanza, Kagera (Bukoba) mingine nimeisahau.Huo mradi utajengwa wapi?
Wamesema wanayafanyia ukarabati.Waondoe yale majengo yao makongwe yaliyotapakaa kwenye mij8 yote..wajenge majengo ya kisasa miji ipendeze
Sahihi kabisa. Wanawahamisha watu kwa muda halafu wanawarudisha. Mfano ghorofa kadhaa wanawaachia wazawa halafu zinazobaki wanazipangisha au kuziuza. Very Simple.Potential areas kama Manzese,tandale ama mwananyamala...wangefanya upgrades sababu ni maeneo yapo karibu na mjini...wangebomoa nyumba wapange upya mji...hata nyumba zao zingeuzika kiurahisi ...wakibomoa squatre taratibu mji unapangika...Na kingine wasisahu kuondoa huu utaratibu wa frames kwa kujenga shopping centres...masoko ya kisasa nk...itakua rahisi kuwabana traders kulipa kodi na kutumia machine za efd
Mpare wa Ugweno (Mringo)
Dar na domWanaanza na mikoa 5,nimesikia Dar, Mwanza, Kagera (Bukoba) mingine nimeisahau.
Kama ilivyofanyika magomeniSahihi kabisa. Wanawahamisha watu kwa muda halafu wanawarudisha. Mfano ghorofa kadhaa wanawaachia wazawa halafu zinazobaki wanazipangisha au kuziuza. Very Simple.
I told Raila was going to be the 5th President of kenya.....! Wengine mkanipinga.. ona sasa
Congrats Raila and Martha Karua
mtoto kenyaView attachment 2346396
View attachment 2346394View attachment 2346395View attachment 2346397View attachment 2346399View attachment 2346403
Atwoli suffers a heartattackView attachment 2346408View attachment 2346409


Kagera? seriously? Wanaenda kupoteza fedha! Mbona isiwe Mbeya au Arusha?Wanaanza na mikoa 5,nimesikia Dar, Mwanza, Kagera (Bukoba) mingine nimeisahau.