Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tulia wewe wacha watu waupige mwingi mbele ya mama yetu mpendwa Samia,pesa zipo na miradi itakamilika,
Hapo zimetumika tofali zilizojaa cement na siyo ambazo zimejaa mchanga lazima gharama ya tofali iwe ya juu
Wangeupiga kama wasingestukiwa..

Pili mimi naamini huenda ni kweli hicho kibanda kikawa na hiyo cost kwa sababu gharama za vifaa vya ujenzi zimepanda na pia wanaopanga mradi wa kuzinduliwa na Mwenge ni wao so wasingeweza kupeleka maofisa wa Mwenge kwenye mradi wa upigaji..

Ndio maana nimesema wa stick kwenye BOQ vinginevyo ni mihemko isiyo na tija.
 
Wangeupiga kama wasingestukiwa..

Pili mimi naamini huenda ni kweli hicho kibanda kikawa na hiyo cost kwa sababu gharama za vifaa vya ujenzi zimepanda na pia wanaopanga mradi wa kuzinduliwa na Mwenge ni wao so wasingeweza kupeleka maofisa wa Mwenge kwenye mradi wa upigaji..

Ndio maana nimesema wa stick kwenye BOQ vinginevyo ni mihemko isiyo na tija.
Ndiyo hivyo unadhani huyo kashtukiwa hakuna chakushtukiwa ni wamehoji tu,
Maisha ni mazuri sana kama bidhaa zimependa mpaka kufikia kibanda kimoja 13M
Je nyunba moja ni kiasi gani?
Naipenda Tanzania nampenda mama Samia
 
Based on your selected photos, yaani past tense😂 😂 😂 😂 😂 😂 .., haubadilishi ukweli, ufukara na ushuzi ni jina lenyu la kati mzee.., inauma ila vumilia.,
Kisumu on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 yaani kama hii ni shithole, Tanzaia is the shit itself that comes out of the hole😂😂😂😂😂😂😂
1662188680296.png


Ukweli unabakia pale pale, tokea Mwanza to Arusha, Morogoro to Dodoma hadi Dar.., picha ni hii kwa wingi na upanna, zoea, penda kwenu na ujivunie vile vidogo mnavyo.,
Leta evidence ya 2022 mzee.., tuone mabadiliko..,

Tanzania 2022.., usitumie nguvu nyingi.., mabadiliko hakuna down south..., it's getting worse.., tokea Mwanza, Arusha, Dodoma to Dar......, 😂😂😂😂
1662189125156.png

1662188974779.png

1662188989371.png

1662189002998.png

1662189017758.png

1662189048022.png

1662189230736.png

1662189291313.png

1662189345423.png

1662189364482.png

1662189373651.png
 
What is the coverage of Kibera type slums, area and population ukilinganisha na sehemu za watu wengi wa kawaida?.., google earth shows clearly the scape of Nairobi vs Dar is slum.. yaani tofauti ni kubwa.., Tanzania is a slum country, or just underdeveloped or poor standards, probably your weak economy is reflected kwa standards za living of many people and even what they construct kwa wingi, tukilinganisha mko hovyo on average.., what u always want to deny [emoji23] [emoji23]
Kenya nzima imezungukwa na ma slums everywhere, county gn haina slums nitajie sahizi hapa na watu wasikie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Improvements.., mabadiliko mitaani...,
1662189589652.png

1662189603311.png

1662189613846.png

1662189623838.png

1662189634217.png

1662189861989.png

2022..,
Sehemu niliona ng'ombe wakivuka barabara.., sasa
1662189723177.png

1662189735643.png
 
Rais Samia amerudisha Real estate ya Tanzania on track..

NHC kazini 👇
Ni kweli, ni aibu mji wenye watu 6Milioni tu wanaishi mpaka 40km radius from the city, je tukifika 20Milioni tutafika wapi? Ujenzi wa nyumba za chini umepitwa na wakati na ni hatari kwa upatikanaji wa makazi bora ndani ya miji yetu? Ni muda sasa wa kuamka na kuanza kujenga apartments za kutosha, watu milioni 6 walitakiwa wasifike hata Kawe, Mbagala wala Gongo la Mboto.
 
Kenya nzima imezungukwa na ma slums everywhere, county gn haina slums nitajie sahizi hapa na watu wasikie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weka aerial view kila county ya Kenya wide angle tuone kama zinafanana hivi👇👇.., usiwe na haraka google earth ni free, data tu ndio wahitaji.., leo tusiandike kwa mate na wino upo, propaganda zako leo nazianika wazi wazi.., kindly be my guest..,
1662189974282.png

1662190011714.png
 
Pia mimi naona hakuna slums in Tanzania., hizi sio slums mjukuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .,
Sura ya taifa fukara., sijui tuziite ushago ama?.., just because your govt refuses to categorize them as slums haimanishi sio slum bana.., hii yote ni slum., nashuku wewe pia ni slum dweller [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2343837
View attachment 2343839
View attachment 2343840
View attachment 2343842
View attachment 2343844
View attachment 2343846
View attachment 2343847
View attachment 2343849
Picha ya kwanza sijui imeiokota wapi, picha nyingine za mawinguni vuta karibu ili tuone kwamba leo definition ya slum imebadilika. Picha za mwisho ni bonde la mto msimbazi au msimbazi basin na zimevunjwa hizo nyumba, na hata kama zingekuwepo huwezi kuita slum nyumba ya block iko poa sema tu ni unplanned, hayo maji ni kipindi cha mafuriko.

Ss nakuwekea picha ambayo haina mafuriko wala nn yn kukame kabisa alafu fananisha na picha za mafuriko ulizoweka ww ili tujue maana halisi ya slum [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220624-091729.jpg
image_downloader_1655753958036.jpg
tapatalk_-1018812544_450x600.jpg
JamiiForums-218706398.jpg
JamiiForums-1702345597.jpg
Screenshot_20220505-221147.jpg
JamiiForums-1722462341.jpg
 
Ni kweli, ni aibu mji wenye watu 6Milioni tu wanaishi mpaka 40km radius from the city, je tukifika 20Milioni tutafika wapi? Ujenzi wa nyumba za chini umepitwa na wakati na ni hatari kwa upatikanaji wa makazi bora ndani ya miji yetu? Ni muda sasa wa kuamka na kuanza kujenga apartments za kutosha, watu milioni 6 walitakiwa wasifike hata Kawe, Mbagala wala Gongo la Mboto.
The best 007 kauli mzuri hapa..,
 
Weka aerial view kila county ya Kenya wide angle tuone kama zinafanana hivi[emoji116][emoji116].., usiwe na haraka google earth ni free, data tu ndio wahitaji.., leo tusiandike kwa mate na wino upo, propaganda zako leo nazianika wazi wazi.., kindly be my guest..,
View attachment 2344021
View attachment 2344024
Nakuambia nitajie county isiyo na slum Kenya unaogopa nn?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Picha ya kwanza sijui imeiokota wapi, picha nyingine za mawinguni vuta karibu ili tuone kwamba leo definition ya slum imebadilika. Picha za mwisho ni bonde la mto msimbazi au msimbazi basin na zimevunjwa hizo nyumba, na hata kama zingekuwepo huwezi kuita slum nyumba ya block iko poa sema tu ni unplanned, hayo maji ni kipindi cha mafuriko.

Ss nakuwekea picha ambayo haina mafuriko wala nn yn kukame kabisa alafu fananisha na picha za mafuriko ulizoweka ww ili tujue maana halisi ya slum [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2344020View attachment 2344022View attachment 2344023View attachment 2344025View attachment 2344026View attachment 2344027View attachment 2344028
Weka wide angle tuzione zote, tukilinganisha na makazi standard.., usiogope mjukuu.., , wacha tutazame Nairobi 2022.., vs Dar
Nimeona Kibera kwa picha yako, wacha tuone kama slums zimezunguka Nairobi ama zimezungukwa na maendeleo.., tofauti na Dar, maendeleo kidogo imezungukwa na ufukara kote kote..,
1662190517531.png

1662190589979.png
 
Based on your selected photos, yaani past tense😂 😂 😂 😂 😂 😂 .., haubadilishi ukweli, ufukara na ushuzi ni jina lenyu la kati mzee.., inauma ila vumilia.,
Kisumu on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 yaani kama hii ni shithole, Tanzaia is the shit itself that comes out of the hole😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2343990

Ukweli unabakia pale pale, tokea Mwanza to Arusha, Morogoro to Dodoma hadi Dar.., picha ni hii kwa wingi na upanna, zoea, penda kwenu na ujivunie vile vidogo mnavyo.,
Leta evidence ya 2022 mzee.., tuone mabadiliko..,

Tanzania 2022.., usitumie nguvu nyingi.., mabadiliko hakuna down south..., it's getting worse.., tokea Mwanza, Arusha, Dodoma to Dar......, 😂😂😂😂
View attachment 2344005
View attachment 2343998
View attachment 2344000
View attachment 2344001
View attachment 2344002
View attachment 2344004
View attachment 2344006
View attachment 2344007
View attachment 2344008
View attachment 2344009
View attachment 2344010
Sijawahi kuuona huu ufukara Tanzania usiforce tufanane 🤣🤣🤣🤣
images (7).jpeg
images (6).jpeg
3011906_JamiiForums-1463697970.jpg
3011907_JamiiForums1511466806.jpg
 
Nakuambia nitajie county isiyo na slum Kenya unaogopa nn?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ndio unahaja ya kujitetea, nimeonyesha taifa lenu lina ufukara kote kote, mazuri yanazungukwa na ufukara, ila Kenya ufukara ndio inazungukwa na maendeleo..,
Ushahidi; Google Earth.., link hiyo hapo.., inaonyesha Tanzania yote na Kenya yote wazi wazi, maneno yako yanabakia kukua tu maneno hewa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom