GREENER
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 641
- 2,133
woooooiii i cant blv this, hahahaha leo umewashika kwenye korodani hawa viumbe wazito, hahahaaaa, nmecheka sana, MDC hao kwenye ubora wao, halafu ghorofa wanaezeka na bati, hahahaaa, poor kenyan, hii picha ilikua wap siku zote??? basi hapo watajisfu wana estates, yan kwao kota na maghorofa ni kitu cha ajabu sana, kwel ushamba mzigo, wakat huku kwetu ujanja ni kukaa kwenye nyumba yako upate na kagarden kwa nje upande maua ulime na mboga mboga.Its like 1000 shots ndio upate Nairobi CBD (The 2 Old concrete tower CBD) what is there in your Old CBD?
![]()
hata kwa nchi zilizoendelea huez kuta mtu na pesa ake anakaa nyumba za kota au karent apartment, but kwa wenzetu wakenya kuishi kwenye hivyo vihostel ni development, hahahahaaaaaaaa

eti 3rd class tazama video nimezituma maeneo ambayo 3rd class wa dar huishi