😀😀😀😀😀😀😀😀 ndoto nayo raha sanaa dream we can achieve, Nairobi Olympics 2032,
![]()
You are a child.😀😀😀😀😀😀😀😀 ndoto nayo raha sana
waone huruma wabongolala wametiNairobi
![]()
![]()
Ndio maana mji wenu haupendeze ata kidogo...kama mombasa tu....![]()
Haya matundu ya njiwa yapo kibao kule Kigamboni waTZ hawayataki. Hivi vitu vinaendana na utamaduni wa watu. waTZ wanataka kujenga nyumba zao wenyewe na si kuishi mabwenini. Wenzetu huko KE ndio mnaona maendeleo!
Hujui usemalo.Ndio maana mji wenu haupendeze ata kidogo...kama mombasa tu....
sijui mbona coastal swahili cities zinafanana
yani CBD imefinyiliwa kwenye corner na uchafu wa mabanda hadi haipumuiWhat Ndinda will not post hahaha
![]()
Ukipanda ndege upige Dar picha unaweza pigwa na shock. .hahaha