Its like 1000 shots ndio upate Nairobi CBD (The 2 Old concrete tower CBD) what is there in your Old CBD?One single shoot and you got the whole cbd and nearby slums
tuwekee kwanza picha za mafundi wanaojenga pinnacle tuone wakiwa site.Kwa wale watu wa renders watch this pace pinnacle 70/45 floors twin towers,montave 40/36 floors twin towers, avic 43/35/28/25/24/24 floors six towers, tarda 35/35 floors twin towers, 88 Nairobi 44 floors and akili tower 30 floors, sasa sijui icho na wenzako mtajificha wapi yakikamilika????
Morogoro can beat Arusha in tourismhow beautiful is tanzania apart from dar es salaam?
here are photos that establish a natural beauty view of morogoro.
wazee wa matope hawa....unakumbuka zile screenshot za matope nilikuwa naziweka hapa wakati ule?.Halafu Nairobi Mna bahati mbaya sana na huo udongo mwekundu . Panaonekana pamechakaa
Kama apartments zenuHahaa nyumba zote zinafanana
tangu ulipo mnyorosha siku ile,amekuwa akiingia jf kwa uoga sana....sijui anaogopa nini masikini.Mzee wa iphone 7 tulishamuumbua siku hizi simuoni sana
Wakenya :No no no this is unplanned dar slum not nairobiIts like 1000 shots ndio upate Nairobi CBD (The 2 Old concrete tower CBD) what is there in your Old CBD?
i agree...it's too unfortunate that morogoro has been given little attention by the authorities.Morogoro can beat Arusha in tourism
zikwapi hzo renders tuzione plzKwa wale watu wa renders watch this pace pinnacle 70/45 floors twin towers,montave 40/36 floors twin towers, avic 43/35/28/25/24/24 floors six towers, tarda 35/35 floors twin towers, 88 Nairobi 44 floors and akili tower 30 floors, sasa sijui icho na wenzako mtajificha wapi yakikamilika????
Yaani Bora hapa Kampala kuna majengo mengine yanonekana ni jengo.Wakenya :No no no this is unplanned dar slum not nairobi
msistizo tena wakikuletea unitag bromsisitizo:
"wasee" wa pinnacle tuleeni hata picha tuone mafundi ujenzi wakiwa site.
mwambieni arudi yale yalishaisha tunaanza maisha mapyatangu ulipo mnyorosha siku ile,amekuwa akiingia jf kwa uoga sana....sijui anaogopa nini masikini.
tatizo hawa jamaa huwa wanatuchukulia poa sana....siku wakibahatika kujua uhalisia wetu ndio watachanganyikiwa zaidi.
wataogopa hata kutu-quote.
Yaani Bora hapa Kampala kuna majengo mengine yanonekana ni jengo.
Ila majamaa wanavyoongea sikutegemea kuona hii kitu ( CBD) majengo mengine sijui yamefunkwa na magunia?
Bora Kariakoo.
ila tuliwadaka kiutamu mpaka leo hawana hamu na wabongono wonder why one of them claimed it's in kenya...it's like she knew what was going on.
That is ngala area and some part of old cbd, so usijiliwaze na hiyo sehemu na bado hujafika robo ya cbd ya nairobiIts like 1000 shots ndio upate Nairobi CBD (The 2 Old concrete tower CBD) what is there in your Old CBD?
Brathe umeona izo white strips kwa barabara zinaitwa zebra crossing ambapo watu huvukia barabaraHii Ndio superhighway? Watu wa Developed nation in Africa wanakatiza katikati ya barabara utafikiri na wao magari. Hahahaha. Kutumia tu barabara Bado kazi , je vitu vingine ??? Utasikia ni zebra crossing hiyo , haha, Kama naiona vile Ila forced , sijui nani kachora na chaki Au?