Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Domestic Market ya Tz iko vizuri sana..
Inagwa tumeorder 737 Max 9 2 ..i think na zenyewe zitasaidia sana kwenye domestic route some days ..

Musoma ,Shinyanga , Iringa , Tanga...coming soon At least Q400 ziwe zinaenda ..Iringa ilikuwa zinaenda ila naona wamefunga airport for Rehab

I think ATC should place orders for more Q400s

and TAA should make sure most airports can operate day and night for better frequencies
 
Domestic Market ya Tz iko vizuri sana..
Inagwa tumeorder 737 Max 9 2 ..i think na zenyewe zitasaidia sana kwenye domestic route some days ..

Musoma ,Shinyanga , Iringa , Tanga...coming soon At least Q400 ziwe zinaenda ..Iringa ilikuwa zinaenda ila naona wamefunga airport for Rehab

I think ATC should place orders for more Q400s

and TAA should make sure most airports can operate day and night for better frequencies
Kwani nani kakuambia zilizopo ziko exhausted? Tununue tu Q400 wakati zilizopo haziko used to the capacity? Mi najiuliza kwanini uwanja wa Songwe zaidi ya miaka 10 haujakamilika kuruhusu flights kutoka SADC countries?

Plan iliyopo kwa sasa ni ya Air Tanzania kuwa na intercontinental aircraft (dreamliners n A350s) kutokana na mpango wa kwenda UK na baadae US! Dreamliner tatu zilizopo moaka 2023 hazitoshi ikiwa route ya Guangzhou inatarajiwa kuongeza frequency kama ya India! Pia kuna route za West Africa pia ambazo zitahitaji medium size aircraft kama Boeing 737 MAX 9s au A220-300.

Q400 zilizopo na inayokuja hazijazidiwa mpaka sasa! Unless unataka ziende ku-park! BTW hiyo route ya Songwe tu sidhani kama Airbus A220-300 itakuwa inaenda kila siku labda kama Songwe International Airport ingekuwa na regional flights kama ilivyokusudiwa wakati uwanja unajengwa!
 
With their low purchasing power, the vast majority of Bongolala cannot afford WiFi. In fact, Fiber/WiFi is non-existent in most of the country.
Kazi yao ni 'bando'.

Last year Zuchu also posted her YouTube stats. Kenya leading by far.

If I was to guess the amount of bandwidth Kenyans consume streaming on YouTube, Netflix, TikTok etc. I would say its at least 5 times what Tanzania spends.
They hate facts. Mtanzania heri umwambie a sweet lie hapo mtasikizana
 
Nyie yenu iko wapi
Makupa Bridge
GiCk9kpTURBXy8xNTNkZmZiZTEyYjcyODUyNWIxNTBhOTFlODEwYTRiYy5qcGeRlQLNAoDNAZDCw4GhMAU~2.jpg

Meza wembe ufe 😂😂😂
 
Differentiate between a bridge and a culvert. Kwanza in that picture nimeona only 5 lanes.
You must be blind to see 8 lanes, sijui hao bacteria huwa unawachunguliaje. Besides yours also is not a bridge but a causeway.
Screenshot_20220805-201107_Opera.jpg
 
Back
Top Bottom