Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
matusi hatuna sio kwa sababu ya upole ila ni kwasababu ya ustaarabu...tunajaribu kuwa wastaarabu ila kiukweli, tanzania bado sana...tanzania level ya Uganda na Rwanda...Kenya pacingHaya subirieni ila kazi munayo safari hii 😀😀😀
Leo siamini kama wakenya wamekua wapole kias hichi nakumbuka mika 10 iliopita mlikua na matus juu ya tanzania