Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
Uganda ipi? Ugandan goods account for 73.1 percent of Mombasa cargoSo unajua mm nimekutajia nchi ngapi mbona unakua kama mtoto mdogo, nimekutajia rwanda burundi congo zambia malawi comoro na northern mozambique na usifkiri kwa akili yako uganda hawapitishi bandari ya dar wanapitisha sana tu
kisha hizo nchi zote ulizotaja ukiweka pamoja uchumi hata bado haujafika uchumi wa Kenya...MY TAKE: hamna pesa ya maana hapo...pesa zipo Ethiopia, Sudan Kusini na Uganda...kumbuka pia reli ya Kenya inaenda Congo, Burundi Rwanda...