Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
kama uchumi wetu ni wa kupikwa just imagine what ur GDP is at?? 25 Billion?? 😀😀haiwez ikawa World Bank wamepika uchumi wa nchi moja...lol!😀😀itakuwa yenu basi ni 25 Billion kabla ya hio 47 Billion ya kupikwa...😀😀Bado vp na munapumulia mashine😀😀😀😀
Labda uchumi wa kupika data maana kwa hilo hamujambo 😛😛😛😛
Tafutieni vijana ajira aisee 22.5% hahahha 🙄