Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sino.., under construction, hakuna functioning industry.., mbona haupendi ukweli dogo?..., industrialization kwa Kenya mtangoja sana!.., ngojeeni watali wawalete $6B by 2025 target yenye mmeweka.., mambo ya industries tusisumbuane bana.., 😂 😂 😂 😂 😂
Watanzania wanakufa kwa vicheko huko 🤣🤣🤣🤣🤣, we jamaa kwakweli hapa, haya endelea kujimaliza Ili nikianza kukupiga ukimbie hii battle for a while
 
lakini pia chenye kinanichekesha zaidi na capetown, ni kwamba

'Wazungu' ndo ombaomba uko......

kumbe africa ni africa tu.. yaani, kuna wazungu SA maisha pia inawapiga mswaki.! [emoji86][emoji87]

hauwezi kosa footprints ya uafrica, kilamahali uendako barini africa
[emoji86][emoji87][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji1427][emoji1427]View attachment 2306525View attachment 2306526View attachment 2306527
Cha ajabu nini hapo, ombaomba mzungu? Wacha upumbavu mjinga wewe, ombaomba wapo dunia nzima.
 
Saivi battle ni viwanda 🤣🤣🤣 aliyoianzisha bwana Don YF kupitia this 👇
Screenshot_20220727-193810_1.jpg
the so called industrial Park 🤣🤣🤣, kwamba Tanzania hakuna kitu kama hicho kinachoonekana hapo juu 🤣🤣🤣,
 
Mtaalam 😀.. naomba maelezo ya hio tweet uliyopost na haya maelezo yako ulitoaga few weeks ago.
Just any explanation.. hapo ulikuwa unajibu kuwa 'nadhan Arusha inahitaji international airport'.. ukajibu hiv, je unakubaliana na Waziri kujenga jengo jipya?
View attachment 2306847
kwani unaelewa nn maana ya neno upgrade ya PAX terminal aliyosema Mbarawa? Na zipi plan zilizopo za Arusha airport unazozijua wewe? Hamna plan ya ku-upgrade Arusha airport to international (category D)! Kwa hiyo kwa jinsi ulivyo wakijenga jengo la size ya Mwanza Airport tayari utakuwa international airport kuruhusu B747? Wacha kukurupuka u r smarter than that!
 
😳Nimeomba maelezo (any explanation) umeanza kutukana? khaa..
Nimetukana wapi wakati hata ulichoni-quote nilisema international airport si feasible with Kilimanjaro international airport (category D) at a proximity of 50 km apart? Kwani huelewi nn nilichoandika last time mpaka kuanza ku-twist opinion yangu? I think u r smarter than what u r trying to do now kwa vile hamna mahali nimepinga jengo jipya la abiria!
 
Nimetukana wapi wakati hata ulichoni-quote nilisema international airport si feasible with Kilimanjaro international airport (category D) at a proximity of 50 km apart? Kwani huelewi nn nilichoandika last time mpaka kuanza ku-twist opinion yangu? I think u r smarter than what u r trying to do now!
Umeambwa maelezo sio kuniuliza tena maswal as if Im much know about everything 🤷‍♂️
 
Umeambwa maelezo sio kuniuliza tena maswal as if Im much know about everything 🤷‍♂️
Prof Mbarawa hajamaanisha international airport hapo Arusha kasema upgrade ya jengo la abiria! Hamna mtu anabisha juu ya hilo! Wakajenge jengo zuri kama la Bukoba/Mwanza/Songwe na apron ya ku-park ndege ni sawa!
 
Kwani hiyo port sio component ya LAPPSET? Unapo pima ufanisi unapima kila component separately huwezi ku generalize.

Anchor component kwenye LAPPSET ni nini kama sio port?
If the anchor component has failed what do you expect from the rest of depending components?

Mfano mzuri tuu ni wa hub and spokes. Port hapa ndio hub all other components are spokes. Sasa hub ikifeli unategemea spokes zitaweza maintain their functions?
How does a port stop roads from being used?
 
Cha ajabu nini hapo, ombaomba mzungu? Wacha upumbavu mjinga wewe, ombaomba wapo dunia nzima.
anyway pia mombasa wapo. pia mtwapa, kilifi na malindi.
malindi hasa utawapata waitaliano, wakiishi maisha chochole tu. hii ni kitu cha kawaida sana pwani mwa Kenya. kuona wazungu wamefyatu live
 
anyway pia mombasa wapo. pia mtwapa, kilifi na malindi.
malindi hasa utawapata waitaliono, wakiishi maisha chochole tu. hii ni kitu cha kawaida sana pwani mwa Kenya. kuona wazungu wamefyatu live
Kwa wale ambao hawajui Unga wa Yanga na mahindi ya njano.. Waende Mombasa port Sasa Kuna meli inashusha chakula cha msaada Kwa wakunya wanaokufa Kwa njaa.

Mara ya mwisho kusikia nchi inapatiwa msaada wa mahindi hayo ya kulishia mifugo ni miaka ya 70's.

Na Sasa Jayden kaombea ng'ombe zake zipate msaada wa chakula.
 
Rapidly developing DODOMA 👇. 👇. Kama wewe ni mkenya usiangalie hiz videos utakosa amani bure

Nyumba zenyewe muonekano wa kizamani, zile estate za Kenya za zamani wakati niko shule ya chekechea, yaani ndio mnatoka porini unadhani mmefikia Kenya, bado sana dogo.., ndio mnaanza kuona estates in 2020s.., mko down sana😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom