It's up to us (not waiting for the organizations like WHO) to educate ourselves about our bodies, lifestyle, vital signs and food we eat. That way, we can provide enough information to our doctors to better diagnose our conditions, when needed.
Mkuu, hayo yote uliyoyasema uliyajua na unayaamini kwasababu ya WHO, hao ndio waliyafanyia kazi na kutuletea ili yafundishwe vyuoni na kwa jamii nzima, endapo kutatokea mabadiliko yoyote mapya, au hayo unayojua yanaweza kupitwa na wakati yakawa hayafanyi tena kazi, sisi hatuwezi kujua hadi tupate maelekezo toka WHO, wao ndio wenye jukumu la kutoa miongozo kuhusu nini kifanyike ili kulinda Afya zetu.
Lazima kuwepo na utaratibu duniani, kila mtu akiamua kufanya vile anavyojua yeye, basi Dunia hii itakua ni fujo. WHO ndicho chombo cha juu duniani chenye jukumu la kutoa miongozo kuhusu Afya za watu, ni muhimu Kwa nchi zote kufuata miongozo yake.
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app