Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
mi huwa napenda hip hop na marraping...tanzania ni darassa na joh makini pekee...njo kenya
Nenda arusha ni karibu na nairobi pia moshi ni karibu na arusha...utakuta vitu ambavyo hukidhani ungevikuta na itakua message tosha...no research no right to spkusilie...nitatembea tanzania nione hayo maendeleo ila kwa mtazamo wangu Dar tu ndio inatambulika...
these are the only Tanzanian artists I like
Ali kiba
Rayvanny
Na maybe darassa.
sawa darassa ana producer wa bongo...na wengine?? lol!! wabongo huwa hata hamkithamini nchi yenu...mkenya ata iwe aje hawezi akaenda kusherehekea maendeleo ya wengine...mwone Jaguar...ana pesa nyingi sana ila hawez aka shoot vido yak SA...lol! tuna msemo, buy kenya build kenya...Kama umemjua darasa obviously nyimbo ya muziki ndo imekubamba, iko directed na hanscana wa bongo!
Teknolojia ya video za bongo za hz iko juu, ni ngumu kujua ipi ni ya SA na bongo kama hufuatilii vizuri!
Kama huamini nikuletee video za directors wa kibongo utabaki kushangaa
mnasafari ndefu sana.......yaan hamtotoboa nakuwa international daima ...mtasota sana....huyo octopizo na hao wakora wengine hamna kitu.....![]()
![]()
![]()