Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wabongo wote wapepanga laini kuenda SA ku shoot video...bure kabisa!! inaonyesha hata hamuipendi nchi yenu...kila kitu SA...ipendeni chi yenu ata iwe mbovu namna gani...


wanaenda kuimbia bafuni south Africa hahaha. .....kwani hakuna Jacuzzi hapo upanga
 
wanaenda kuimbia bafuni south Africa hahaha. .....kwani hakuna Jacuzzi hapo upanga
just imagine!!! wote wamekimbia SA...kisha wapo hapa wanaimba eti Tanzania inaweza compete na Nairobi...wakati wote wametoroka hata huo mji wao...i like Kenyan artists...buy Kenya build Kenya...we have our own music producers..we dont need to take advantage of other people's work...
 
na ndio maana ata Coke Studio Africa walikuja Kenya na South Africa...watu wanaojiamini...si watu wa kupanga laini ndefu kuingia Afrika Kusini kana kwamba kwao hamna music producers ama hoteli wanazoeza waka shoot video nzuri...
 
trey songz akipanda matatu Nairobae..
Trey-Songz-Kenya-Matatu.jpg
SONGZ.jpg
trey-songz.jpg
 
lyrical and content wise,khaligraph jones ni mwana hiphop wa kawaida sana.hana upekee wowote wa kuwatisha maMCs wa kitanzania.

tz ina ina hazina kubwa ya maMCs/hip hop artist than any country in EA.nikiwataja hapa sitomaliza leo.

kitu pekee ninacho mpendea khaligraph ni uwezo wake wa ku-rap kwa kingereza cha wamarekani weusi.kwa hilo kajitahidi sana.sidhani kama anampinzani hapo kenya.

nilipokuwa secondary nilikuwa navutiwa sana na aina ya kingereza kinacho zungumzwa na wamarekani weusi.
 
Victoria Kimani...our own Kenyan singer making it big in Nigeria...she has a Nigeria boyfrind...otherwise she would be shooting her videos in Kenya
 
lyrical and content wise,khaligraph jones ni mwana hiphop wa kawaida sana.hana upekee wowote wa kuwatisha maMCs wa kitanzania.

tz ina ina hazina kubwa ya maMCs/hip hop artist than any country in EA.nikiwataja hapa sitomaliza leo.

kitu pekee ninacho mpendea khaligraph ni uwezo wake wa ku-rap kwa kingereza cha wamarekani weusi.kwa hilo kajitahidi sana.sidhani kama anampinzani hapo kenya.

nilipokuwa secondary nilikuwa navutiwa sana na aina ya kingereza kinacho zungumzwa na wamarekani weusi.


we are used to your blind patriotism syndrome of calling green. ..
yellow .. . [HASHTAG]#RespectheOGz[/HASHTAG]
 
kijana wetu diamond plutnumz(simba),apata mapokezi makubwa ya kihistoria nchini mozambique.

wanamuziki wa kenya wataishia tu kuota ndoto ya kupata mapokezi makubwa kama haya wanapo enda kutumbuiza katika nchi za ugenini.

9ef484c94e44e312fb562ede14bd29ed.jpg
81a03c012a590c4232892ade0f467758.jpg
e56e9d5f34b81dd85f681c4f8d6d2069.jpg
43853ed1c3ad2e1557d5a2e34babe88c.jpg
62b223d2f1c53cb9e4f0b3bddef024c3.jpg
863e917f5b49c68253d37ff8dbef6419.jpg
fcde3cb592d6aeb92df2edef715f3346.jpg
1d1c65566b9295ae1f5f3a8558290ad7.jpg
c4dac007ddbd78602fa385df51af060a.jpg
 
Back
Top Bottom