We ach ukilaza keny mnrpu ipi nyie ,machalii wawili tu kidogo ila ingia bongo ,na sio bongo tunwapa mkoa wa arusha wanawakalisha kenya kwa hip hipkwanza kwa rap and hip hop kenya ina wakilisha...tz ngoma zao zote zinafanana...hakuna variety...kwanza wote wanakimbia afrika kusni ku shoot video..these niggas tho...😀😀
Achana naye huyo mzee wa renders hana alijualoWe ach ukilaza keny mnrpu ipi nyie ,machalii wawili tu kidogo ila ingia bongo ,na sio bongo tunwapa mkoa wa arusha wanawakalisha kenya kwa hip hip
Jamaa naona unapenda ligi, eti nje ya Dar tupo kama 1960 no internet, no roads yaani mstu tupu hahaha btw hivi unajua kua toka dar mpaka kigoma ( mwisho wa reli ) ni lami tupu kasoro kipande kidogo sana, unanajua pia tokea mtwara mpaka kagera ni full lami achana na hilo hapa nilipo ni umbali wa zaidi ya km1000 toka dar na nina access 4G ..ndio ila nje ya Dar mpo kama 1960 vile...lol! no internet, no roads...yaani msitu tupu...nawahurumia 45 million tanzanians...cities drive the economy...ndo maana nchi ndogo ya Kenya inaongoza nchi kubwa kama tanganyika...mmejifinyilia kule mikoani nyote na wanyama😀😀capital city inafanana sijui na msitu...mijengo finyu na very rare...Mind you, a knyan living in a slum is more educated and wealthier than a tanzanian living in a village...
usilie...nitatembea tanzania nione hayo maendeleo ila kwa mtazamo wangu Dar tu ndio inatambulika...Miji ilioendelea Moshi,morogoro dodoma iringa,mbeya,tanga kuna huduma zote za kijamii maji umeme barabara ,network wewe Jay uko na zarau sana i rest my case though i never knew ur like that
Kenya mziki wenu ulishakwisha nadhani...his sauti sol ndio wnawabeba....uyo kaligraph Jones anarap nn hasa...manake hua naona anatema tu yai ....
Msikilizeni fiq Q mje tena tuzungumze labda hamuelewi maana ya hip-hop
wakenya kwenye industry ya mziki mtasota milele...... coz hamna mziki ambao ni wenu.....yaan mnarukaruka tu na hapo ndipo tunapowaacha tanzania we have our own music style....very true....kwa video watz wako fiti ila nyimbo hata hakuna yenye ishawahi nibamba...yaani watz ni bling tu kwa video...na mara nyingi zime kuwa shot Afrika Kusini...hawana producers na directors walio na talent kwao

mi huwa napenda hip hop na marraping...tanzania ni darassa na joh makini pekee...njo kenya

wacha kutema yai ...kwanza jiburudishe na hiiwakenya kwenye industry ya mziki mtasota milele...... coz hamna mziki ambao ni wenu.....yaan mnarukaruka tu na hapo ndipo tunapowaacha tanzania we have our own music style....
kwa hili najiproud...na tunazidi kukipaisha kiswahili......nakukifanya kiwe on top africa kwa upande wenu wakenya nyie ni wasindikizaji kwetu....
ipromise nakupa 3years or 2 hapo hatokuwa fire huyo calgraph wala nini yaani atazimiki sababu hana style yake....utofauti ndiyo unaomtofautisha mtu na kumfanya atazamwe daima katika biashara yake.....nachowaomba wakenya muendelee kutia bidii kwenye mashindano ya mbio marathon![]()
![]()
![]()
![]()
usijidanganye hata siku moja.....huyo ataishia huko huko kenya vinginevyo hamna kituEast Africa king wa hiphop ni K Jones iyo si siri
Huo mtazamo wako potofu na hicho ndio kitu kinawarudisha nyuma sana wakenya kujiona mko superior na hamuna chochote cha maanausilie...nitatembea tanzania nione hayo maendeleo ila kwa mtazamo wangu Dar tu ndio inatambulika...
sio kujiona tuko superior...tupo superior.... yaani tayari imeshathibitika...Huo mtazamo wako potofu na hicho ndio kitu kinawarudisha nyuma sana wakenya kujiona mko superior na hamuna chochote cha maana
Kama umemjua darasa obviously nyimbo ya muziki ndo imekubamba, iko directed na hanscana wa bongo!very true....kwa video watz wako fiti ila nyimbo hata hakuna yenye ishawahi nibamba...yaani watz ni bling tu kwa video...na mara nyingi zime kuwa shot Afrika Kusini...hawana producers na directors walio na talent kwao