Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya hatujawahi pinga kwamba Tanzania mumebarikiwa na mwenyezi mungu kwenye natural resources. Tatizo lenu ni lazyness uliopitiliza. Mna mbuga za wanyama nzuri, dhahabu, mazao ya kilimo nyingi kwa sababu ya ardhi yenye rutuba e.t.c lakini bado Kenya inawashinda kwenye gdp na gdp per capita. Yaani mna national parks nne kwenye hii top 25 list ya best national parks in the World na bado nyinyi ni masikini wa kutupwa? Aisee sijui mlirogwa na nani?

Tanzania is home to four travel destinations that have been ranked among the best in the world by TripAdvisor.

Here is the List:
1. Arenal Volcano National Park, Costa Rica

2. Jim Corbett National Park, India

3. Serengeti National Park, Tanzania

4. Maasai Mara National Reserve, Kenya

5. Kruger National Park, South Africa

6. Fiordland National Park, New Zealand

7. Denali National Park and Preserve, Alaska

8. Kilimanjaro National Park, Tanzania

9. Westland Tai Poutini National Park, New Zealand

10. New Forest National Park, Hampshire, England

11. Snowdonia National Park, Wales

12. Banff National Park, Alberta

13. Cilento and Vallo di Diano National Park, Italy

14. Jasper National Park, Alberta

15. Grand Canyon National Park, Arizona

16. Tarangire National Park, Tanzania

17. Ngorongoro Conservation Area, Tanzania

18. Freycinet, Australia

19. Vatnajökull National Park, Iceland

20. Grand Teton National Park, Wyoming

21. Bryce Canyon National Park, Utah

22. Plitvice Lakes National Park, Croatia

23. Chapada dos Veadeiros National Park, Brazil

24. Uluru-Kata Tjuta National Park, Australia

25. Zion National Park, Utah

Cc joto la jiwe

nyinyi wakenya musingekua lazy musingekua munakufa na njaa kizembe kwa dunia ya leo 🤣🤣🤣 hebu imagine saud arabia ni jangwa asilimia 100 lakini sijawah sikia wanakufa na njaa na tena wanawaletea misaada ya chakula
 
Wakenya hatujawahi pinga kwamba Tanzania mumebarikiwa na mwenyezi mungu kwenye natural resources. Tatizo lenu ni lazyness uliopitiliza. Mna mbuga za wanyama nzuri, dhahabu, mazao ya kilimo nyingi kwa sababu ya ardhi yenye rutuba e.t.c lakini bado Kenya inawashinda kwenye gdp na gdp per capita. Yaani mna national parks nne kwenye hii top 25 list ya best national parks in the World na bado nyinyi ni masikini wa kutupwa? Aisee sijui mlirogwa na nani?

Tanzania is home to four travel destinations that have been ranked among the best in the world by TripAdvisor.

Here is the List:
1. Arenal Volcano National Park, Costa Rica

2. Jim Corbett National Park, India

3. Serengeti National Park, Tanzania

4. Maasai Mara National Reserve, Kenya

5. Kruger National Park, South Africa

6. Fiordland National Park, New Zealand

7. Denali National Park and Preserve, Alaska

8. Kilimanjaro National Park, Tanzania

9. Westland Tai Poutini National Park, New Zealand

10. New Forest National Park, Hampshire, England

11. Snowdonia National Park, Wales

12. Banff National Park, Alberta

13. Cilento and Vallo di Diano National Park, Italy

14. Jasper National Park, Alberta

15. Grand Canyon National Park, Arizona

16. Tarangire National Park, Tanzania

17. Ngorongoro Conservation Area, Tanzania

18. Freycinet, Australia

19. Vatnajökull National Park, Iceland

20. Grand Teton National Park, Wyoming

21. Bryce Canyon National Park, Utah

22. Plitvice Lakes National Park, Croatia

23. Chapada dos Veadeiros National Park, Brazil

24. Uluru-Kata Tjuta National Park, Australia

25. Zion National Park, Utah

Cc joto la jiwe
infact this is wht always tell them everyday. they don't have any reason as to why they are not number1 in africa, were it not for their laziness and the outdated sociolist system of things.

kenya, with our high level of education and our very hardworking spirit.. if only tanzania was our land! we could be by far No.1 in africa.

Another country that should be given some strokes of canes to awaken them is DRC... its yet another deep sleeping giant
 
majuu kwa wagandarée, warwandée, bacongolée

images - 2022-07-11T164759.796.jpeg
Screenshot_20220711-171549_Chrome.jpg
 
Ni wachafu sn, hakuna taifa lenye mauchafu kama Kenya na hakuna mji mchafu hapa Africa kama ka Nairobi, ndiyo maana huwezi kukuta wanaweka picha za ka Nairobi bila filter kama Dar. Yani ka Nairobi kamepauka kweli kweli asikuambie mtu, vieneo vichache wanavyovitegemea ni kwenye vi apartment vya foreigners only.
Hata mimi huwa ninajiuliza hili swali kwanini wakaskazini hawaweki picha bila filter?
Wakiweka picha isiyo na filter halafu ucompare na waliyoweka yenye filter same picture unaona ni picha 2 mbili tofauti kumbe kwasababu ni kupaukaaa!!!
 
Hua unasema mnauwezo mzuri wa kufikiri lakini naona hapa unapuyanga,Mtu anaenda Station kulala ama kukata ticket nakuondoka?safari ndio inafaa iwe ya muda mfupi na comfortable, kwenye huu mradi nini kiliwafanya mjengo Station nzuri alafu mtumie mitungi?
Sababu tunaeza nunua train zingine lakini hatuezi bomoa station kujenga zingine
Hua unasema mnauwezo mzuri wa kufikiri lakini naona hapa unapuyanga,Mtu anaenda Station kulala ama kukata ticket nakuondoka?safari ndio inafaa iwe ya muda mfupi na comfortable, kwenye huu mradi nini kiliwafanya mjengo Station nzuri alafu mtumie mitungi?
 
Mchina mwamba sana anajua kufanya kiini macho kwenye stations lakini kwenye miundombinu ya msingi ambayo haiangaliwi kwa jicho la kawaida bali la kitaalamu huko ndio kapiga ile mbaya.
Kama huamini chenye unaona na macho yako we ni mpuuzi unafaa kunyanganywa macho
 
Eid Mubarak to all our muslim brothers in the house..

bismilahi salahlah, waleiuwasalam.. warahman tulilahi wabarakatu!..

eid-mubarak-759.jpg
 
Hua unasema mnauwezo mzuri wa kufikiri lakini naona hapa unapuyanga,Mtu anaenda Station kulala ama kukata ticket nakuondoka?safari ndio inafaa iwe ya muda mfupi na comfortable, kwenye huu mradi nini kiliwafanya mjengo Station nzuri alafu mtumie mitungi?
Hapo ndipo mchina alipowapigia bao walibaki wanashangaa stations wakasahau ku supervise rail
 
Back
Top Bottom