Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Siamini kama dar ya leo inakutia hasira kias hicho
Mm napenda kuona renders unazopost 😀😀😀
Endelea hvo hvo plz
utapigwa na butwa ukiona mammonth imepaa Nairobi pale...wanaiita the pinnacle..ina urefu wa mita 300...yaani unaunganisha mijengo mitatu ya Dar ndio ifikie..😀😀 kenya sio mchezo...
 
Wakenya wenzenu wamekosa matibabu kenya wamekuja tanzania kuhudumiwa hapo hujaelewa nn
mbona hilo jambo la kawaida tu?...wasomali, waganda watz, wahabeshi wanakuja nchini kupata matibabu kila uchao...kama tu vile watz, waganda, wanyarwanda wanaoelekea kwa Trump watakua wakipitia Nairobi tu kutumia KQ...
 
Sam Nujoma Road

2a2f28d60119a5186019969859876c3a.jpg
 
utapigwa na butwa ukiona mammonth imepaa Nairobi pale...wanaiita the pinnacle..ina urefu wa mita 300...yaani unaunganisha mijengo mitatu ya Dar ndio ifikie..😀😀 kenya sio mchezo...
yap asante kwa renders ndugu naenjoy kuona renders😀😀😀😀
endelea kupost renders zingine plz
 
Back
Top Bottom