Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
sawa ila Nairobi ni mji wa ndani....kuna vitu vingi Nairobi ikonayo ambazo Dar haina...so kuringa na beaches is premature in this case....by the way, Nairobi was set as the capital city makusudi...hawakutaka mji wa baharini sababu ya joto jingi...neno 'Nairobi' lina maanisha 'a place of cool waters' kwa kiMaasai.....Pili, hii inaonyesha kukua kwa uchumi...nenda Egypt, Nigeria, Morocco na Afrika Kusini utaona kuwa walihamisha capital city toka baharini sababu hizo hizo za joto...sasa nyie mmebaki na Dar yenu tu ukienda kwingine kunafanana na msitu... hamna maendeleo nje ya Dar..hii ni kwa sababu mmeweka kila kitu pale Dar including airport, seaport,industries etc....heri sie tuna Nairobi (for running business, industries and airports) kisha kuna Mombasa (for ports and beaches) na Kisumu (for second port)...na pia nashangazwa, hivi huwa mnavaa suti pale Dar na joto hilo??? duh!Asante kwa jibu lako....![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
