Baada ya hii initial agreement kutakuwa na further negotiations ambazo might take up to 3 years to conclude on legal, financial and regulatory frameworks.Wacha tuone kama itafanyika. Next week sio mbali.
Baada ya hii initial agreement kutakuwa na further negotiations ambazo might take up to 3 years to conclude on legal, financial and regulatory frameworks.Wacha tuone kama itafanyika. Next week sio mbali.
Wewe vp? Edelweiss inakuja na June iko full booked unaweza kusafiri nao kuanzia July 22nd! Mbona vitu rahisi ingia website yao halafu jaribu ku-book flight! Turkish Airlines iliacha kuja kwa ajili ya corona ila ilisharudi kitambo!Edelweiss inakuja sasa hivi au haiji..?
Edelweiss ni seasonal mzee kama condor ilivyokuwa inafanya...
Mimi sio kwamba nachukia watalii kuja ..am.just saying facts ..edelweiss ni seasonal
Ni kama Turkish na Fly Dubai kwenye KIA route huwa sio mwaka mzima
Naskia Edelweiss imeacha kutua Mombasa! Nimejaribu ku-book a flight nimekosa destination Mombasa! Balala anafanya nn wizara ya Utalii?Wewe Mlazy hakuna kitu kama Lufsantha ni Lufthansa.
Sukumawiki "lets the week slips"!Nadhan ni majani ya maboga
How do remittances help in pushing up spending in public services as compared to revenues in tax and royalties?Remittance ya Kenya ni $3.7 billion. Remittance ya Kenya imeshinda gold revenue yenu ya $3.5 billion. Epuka kuropoka bila kutazama facts kwanza.
Cc tuusan
Usiwe unabisha kifalamanga Fly Dubai, Turkish Airlines, Edelweiss na Eurowings r regular flights! Leta facts ati ni seasonal flights!Edelweiss inakuja sasa hivi au haiji..?
Edelweiss ni seasonal mzee kama condor ilivyokuwa inafanya...
Mimi sio kwamba nachukia watalii kuja ..am.just saying facts ..edelweiss ni seasonal
Ni kama Turkish na Fly Dubai kwenye KIA route huwa sio mwaka mzima
Huo ndio ukweli mtu hawezi kuondoka kwenye nchi ambayo food is plenty and cheap, booze is cheap also, cost of living is low, purchasing power kubwa, health and social welfare top notch on top of that public security iko high. Uende wapi tena unless wewe ni kichaa.Huu ni uongo alafu mko hapa kusema viongozi wetu ni waongo
Hizo remittances zinafanya kazi gani huko Kenya zaidi ya kwenda kwenye mifuko ya watu? Investments kwenye Afya elimu maji barabara zinafaidikaje na remittances hizo?chongchung na Geza Ulole sisi hatujali kama Wakenya wanafanya kazi za aina gani bora watume billions of dollars nyumbani. Aiseeh unadhani $3.7 billion ni pesa kidogo?
Mining industry huwa ina backward and forward linkages ambazo zote hela hutembea.Kweli reasoning ya mchumi sijui accountant Tony254 imeenda hali jojo hapo
Embu wenyewe wazoefu wa sukuma wiki waje watuambie hapa ni majani gani ya kunde, maboga, mnafu, figiri, spinach, chinese au tembele?Sukuma wiki it lets the week slips!
Amenishangaza sn bwana Tony kulinganisha mapato ya minerals na remittance, hyo $3.7b GoT imepata kwenye kodi tu hapo hazijahesabiwa pesa ambazo Watz na wasio Watz wanapata na kupeleka nyumbani kama hizo remittance, mzunguko wa money from mining ni mkubwa mno inaweza ikawa mara 10 ya pesa za remittance, kwanza remittance co source of govt income unawezaje kulinganisha na Govt revenue from mining industry?Huwezi kulinganisha economic benefits zitokanazo na mining na remittance, kama Tanzania government imepata revenues ya $3.5b ujue money circulation ni zaidi ya hiyo pesa.
HahahaBaada ya hii initial agreement kutakuwa na further negotiations ambazo might take up to 3 years to conclude on legal, financial and regulatory frameworks.
Sukuma wiki wazungu wanaiita kalesNadhan ni majani ya maboga
Bora umueleweshe huyu kilaza Tony254 kwamba mapato ya madini yananufaisha Watanzania wote kwa kugharamia mipango ya serikali miundombinu ikiwemo wakati remittance sio pesa ya serikali!Amenishangaza sn bwana Tony kulinganisha mapato ya minerals na remittance, hyo $3.7b GoT imepata kwenye kodi tu hapo hazijahesabiwa pesa ambazo Watz na wasio Watz wanapata na kupeleka nyumbani kama hizo remittance, mzunguko wa money from mining ni mkubwa mno inaweza ikawa mara 10 ya pesa za remittance, kwanza remittance co source of govt income unawezaje kulinganisha na Govt revenue from mining industry?
Nani amekuambia kwamba hio $3.5 billion yote inaenda kwa GoT? Usiongee mambo usiyoyaelewa. Naona umeanza kuropokwa. Hio $3.5 billion ni mapato baada ya kuuza madini. Sehemu kubwa inakwenda kulipia expenses ya kuendesha kampuni hizo kama vile kulipa salaries. Katika net profit itakayopatikana, sehemu kidogo ya hio pesa ndio itaenda kwa GoT kama taxes, dividends. Pia kuna royalties. Sehemu kubwa itakayobaki itakuwa ni faida ya mwekezaji.Amenishangaza sn bwana Tony kulinganisha mapato ya minerals na remittance, hyo $3.7b GoT imepata kwenye kodi tu hapo hazijahesabiwa pesa ambazo Watz na wasio Watz wanapata na kupeleka nyumbani kama hizo remittance, mzunguko wa money from mining ni mkubwa mno inaweza ikawa mara 10 ya pesa za remittance, kwanza remittance co source of govt income unawezaje kulinganisha na Govt revenue from mining industry?
Wakati wa uchaguzi Kenya mambo huwa hayasongi.Naskia Edelweiss imeacha kutua Mombasa! Nimejaribu ku-book a flight nimekosa destination Mombasa! Balala anafanya nn wizara ya Utalii?
Hata hio mapato yenu ya madini ya $3.5 billion ujue most of it inaenda kulipa expenses kama salary, maji, stima ya mining companies. kisha sehemu fulani inaendea GoT kama taxes, dividends and royalties kisha sehemu fulani inabaki na investor kama faida. Mimi sio mjinga unidanganye kwamba hio $3.5 billion yote inakwenda kwa serikali ya Tanzania. Wewe na The best 007 tafuteni mjinga mwingine wa kudanganya. Mimi sidanganyiki virahisi.Bora umueleweshe huyu kilaza Tony254 kwamba mapato ya madini yananufaisha Watanzania wote kwa kugharamia mipango ya serikali miundombinu ikiwemo wakati remittance sio pesa ya serikali!
hii aina ni "majani ya kabichi" hata sie itabidi tuiite sukumawiki (leaf cabbage "Brassica oleracea") kutofautisha na the real cabbage! Sijui jina lake la kiswahili aisee! Kuwa mwangalifu, Bongo ukimwambia mtu unakula majani anajua marijuana!! 😀 😀 😀Sukuma wiki wazungu wanaiita kales
View attachment 2250558
View attachment 2250560
Cc NDINDA coodip1 Geza Ulole
Nyie mnaiitaje huko kwenu?