Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,434
Wewe huwa mpuuzi sana wakati mwingine. Unapenda kubadilisha topic lakini leo sina mood ya mchezo. Mimi ninazungumzia mapato pekee. Sizungumzii mambo ya economic benefits. Obviously mining sector ina economic benefits nyingi lakini mimi ninazungumzia mapato ya mining sector yenu. Hata sizungumzii kuhusu investments katika mining sector yenu. So punguza kiherehere. Usiniletee hizo video za investments mimi ninazungumzia mapato. Mbona wenzako wameelewa na wamenyamaza, wewe ndio unakazana hapa.Huwezi kulinganisha economic benefits zitokanazo na mining na remittance, kama Tanzania government imepata revenues ya $3.5b ujue money circulation ni zaidi ya hiyo pesa.