Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eldoret wasee hujenga ..kama uko around kam timbers club jioni nkuashikie ka tusker
1af3c3eeb87496b9b2020838fe5b7c72.jpg

f9291c359d756e4e0c01f4e58402c1ae.jpg


sent from iPhone 7

Tumwagie hizo picha za Eldy kama zote
 
Tuusan bana acha kuniangusha...hehee.najua wewe huwa hubishani na ushabiki.yani kumbe tumewashinda na buildings 15 complete na u/c..mko na 29 bana when tuko na 44...ghai.nmewadharau sana.hahaa
Umekosa hoja ndugu kuna mziki unaitwa kawe city umeshika kasi balaa yani safari hii mutanuna sana na povu zitawatoka sana
 
Back on it again. This is Kenya where politics has no end! We are voting in Uhuru because of his development in a record four years. Never before
DJSUWV1XUAA1dm4.jpg
 
yaani wabongo huwa mnanishangaza sana...Nairobi sio jiji la kulinganisha na lolote ispokuwa SA cities na pengine Moroccan ones...hawa jamaa wana mijengo mitatu za maana pale Dar wakati Nairobi ina three CBDs kwa sasa Upperhill, Westlands na Downtown...kuna mipango ya kuweka Eastleigh iwe business district...CBD zote hizi zina mijengo za kushangaza New York style hivi and more...nyie mna TPA, PSPF na moja ingine hapo nasahau jina kisha mnajifananisha nasi...duh! ama kwli nyie ni vipofu...mtu aliye na akili zake timamu hawezi compare Nairobi na Dar...ila wacha tu tundelee kuwatandika viboko kwenye battle...hata wanigeria wanaamini Lagos imeshinda Joburg...
 
Back
Top Bottom