acheka sana nikipitia huu uzi nakusoma vile wabongo wanajiliwaza kwa kusema wanajenga kuliko nai,kua dar ya sasa sio ile ya zamani...nlipitia kule skyscraper city Africa section kwa over 20 floors buildings both complete na under construction ndipo nkafahamu hatuitendei haki nai kuilinganisha na dar.
Anyway magu bado miaka mitatu sasa..akipochukua madaraka hatukupumua humu.wapiga ramli walisema awamu ya kwanza tu atawezesha tz kuipiku Kenya.nngependa kujua tumefikia wapi kwa hili au tumuongezee magu awamu ya pili