The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,186
wenye njaa hapa Africa ni Kenya,Somalia,EthiopiaAfrica sikuizi inaitwa Kenya. Jifunze kusoma articles upanue akili badala ya kuropokwa.
wenye njaa hapa Africa ni Kenya,Somalia,EthiopiaAfrica sikuizi inaitwa Kenya. Jifunze kusoma articles upanue akili badala ya kuropokwa.
Now this is news
Where is the bus for Kenya football federation? Hata sie JKT wana mabasi yao kama NYS!Timu ya Taifa hupewa buses na serikali, na hizo buses serikali wanazo mingi sana NYS na ndio hua wanapewa, pengine serikali yenu haina buses za wizara ya michezo na vijana ju nyinyi ni nchi maskini. 🤣 🤣 🤣
NYS sio jeshi, hakuna comaprison hapo we mzee.Where is the bus for Kenya football federation? Hata sie JKT wana mabasi yao kama NYS!
Tuwe waangalifu na hawa jamaa! Hawa mwanzo si walikuja na gear ya Bagamoyo port?
😂😂😂😂🙌🙌🙌
For public use,ni kama ilivyokuwa Zamani baadhi ya shule zilirithi majengo kama hayo japo naona kwa sasa ni majengo modern kabisa na ikiwa shule mnatafuta madawati.
Kama ni za barabara zinakua mali ya tanroads baada ya ujenzi kama ni SGR zinakua mali ya TRC
Aah sawaKama ni za barabara zinakua mali ya tanroads baada ya ujenzi kama ni SGR zinakua mali ya TRC
Maana zimekaa kishule kishuleFor public use,ni kama ilivyokuwa Zamani baadhi ya shule zilirithi majengo kama hayo japo naona kwa sasa ni majengo modern kabisa na ikiwa shule mnatafuta madawati.
Sasa nchi ina oil resources mbona ishindwe? Au unafikiri ni Kunyaland ya GDP ya kubabaisha?17,000 MW za nuclear power plant zinahitaji zaidi ya $20 billion kujenga.
hapa unataka kumaanisha nn.?🤔
Hilo la Bagamoyo utajua mwenyewe..Ila Waziri wa Uvuvi alisema wanataka wajue idadi ya samaki huko Bahari kuu Ili waweze kutoa vibali vya Uvuvi wa Bahari ya kina kirefu..Tuwe waangalifu na hawa jamaa! Hawa mwanzo si walikuja na gear ya Bagamoyo port?