Hahaha wakenya ni wachawi sana wamewaloga sauti soul weeee mpaka saivi hawajulikani wapo pori gani 😀😀😀
Hahaha wakenya ni wachawi sana wamewaloga sauti soul weeee mpaka saivi hawajulikani wapo pori gani 😀😀😀
futa basi machozi kwanini ulie kias hicho😀😀😀😀😀😀Zungumza kama mtu ameenda shule...ujinga ni laana 21st century
Hahaha wakenya ni wachawi sana wamewaloga sauti soul weeee mpaka saivi hawajulikani wapo pori gani 😀😀😀

Uhuru anachukua kiti huyo maraga atamuaipisha then atafutwa kazi... Hatupendi ujinga kama jubilee
sent from iPhone 7
For now let minority have their say...majority will have their way after 60 days.
sent from iPhone 7
japo watanzania na jumuiya za kimataifa zikiipongeza mahakama ya upeo ya kenya ( kenya supreme court) kwa ukomavu iliouonyesha katika kutenda majukumu yake bila kuingiliwa na mhimili mwingine wenye nguvu,hakuna shaka kwamba huko mlima kenya kuna wezee wa jadi wamejichimbia kwenye vilindi vya mlima wakifanya makafara ya kutisha na kupanga mipango ovu kuhakikisha rais wa kenya hatoki katika kabila lingine isipokuwa kikuyu au mshirika wao kalenjin.
hivyo ndivyo itakavyokuwa katika matokeo ya uchaguzi wa marudio.
uhuru tano tena,iwe kwa kura za halali au kwa kura za wizi.
kisilani cha ukabila kipo pale pale na kitaendekea kuwatafuna mpaka masihi arudi tena duniani.
sjakupataNi furaha yangu kuona minara ikichomoza
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
yaani yupo huru....hana hata wasi wasi tanzania raha jamani angekuwa kenya mpaka mibunduki pembeni na police