Shule ilishindwa kutengeneza modern library, wachina waka donate. Wacha hasira, hio library ni ya donation hata imeandikwa kwa herufi kubwa CHINA AID.Ile ada unayolipa inakwenda wapi? Unadhani vitabu vinajinunua vyenyewe? Wapumbavu hamjui kitu, we unaona unaweka tako lako pale unadhani hulipii.

