The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Huwa wakiona tumekaa kimya wanadhani wanatuweza, wakianzaga kusema eti ka Nairobi ni green kuliko Dar huwa nawachekii nasema hiiiiiiiiiNi hectares 30 ndio zinampa jeuri ya kutunishiana misuli na Dar
View attachment 2212778
Pugu forest ni dense natural forest kama ya Amazon, hawa watu empty sana
View attachment 2212779View attachment 2212780







