Nimezipitia ,kaweka data za miaka inayomfurahisha yeye,nimemwambia aweke data zote za kuanzia 2016 hadi 2021,kwa sababu hoja ya serikali ni kwamba mahitaji ya umeme mwaka 2021 yaliongezeka kwa Kasi zaidi kuliko miaka mingine yote iliyopita kutokana na kukua kwa haraka kwa uchumi..
Pili hoja ya serikali ni kwamba Tanesco walikuwa hawafanyi maintenance kwa miaka 5 iliyopita hivyo systems za umeme zimechoka so with sharp demand imesababisha grid kuzidiwa and so umeme kukatika katika..
Na mwisho nimemuuliza kwamba kama hakubaliani na majibu ya Serikyna boss wake Chade ,atuwekee yeye sasa kwa nini umeme unakatika katika? Je wanahujumu Nchi Kisa hawamtaki Samia na Makamba?