Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukweli inakuuma, utazoea tu, usilie sana, mtapona., mko hovyo, haukwepi, angalia Dar tu
Ivi ulisemaa apo kwenye batii mpya ndio room yako inapatikana? ebu tupe za ndani, vipi kuoga huwa ndio kwenye mitaro sio?
JamiiForums-1962540338.jpg
 
Yaani nyumba nzuri bei rahisi hivi lakini nikiangalia google earth wengi wenu zaidi ya 80% ya jiji mnaishi nyumba za hovyo na kishamba kwa wingi., ina maana nyie ni mifukara kuruka 🤣 😂 😂 😂 😂 😂 .,
Bati sio nyumba na wala sio Dar yote ipo na bati za kutu, Dar nyumba hazijapangwa in lines lakini haimaanishi sio nyumba nzuri, ninyi mlivyo hamna akili mnafikiri kisa nyumba zipo scattered basi ndani nyumba ipo hovyo.
 
Bora ufunge bakuli, nyie ni fukara msio kizi hata kuishi kwenye sut ya 3000tsh...apo bado chakula no wonder mnapika mawe jikoni
Wapo hovyo kwenye kila kitu sio nyumba sio chakula sio mavazi, yaani kila kitu vululuvululu
 
kuna vitu vingine vinachekesha sana.. eti huyuhuyu anataka kugombea urais 2025
kama mambo ndo haya, huo ujasiri anautoa wap? ‘our own Joyce Banda’


i like this comment

Tanesco kuilipa symbion .......
Geza anachekekea
 
Unazungushia apo unadhani hiyo nimaneti kma huo uchafu wa pich ya pili sio?
Hiyo airport yao mkuu nimeshaitumia sana yaani ni kituko tupu design ya kizamani sana pia ndani ni kama sokoni imefinywa sana pia roof ni kama mezzanine floor no quality at all. Halafu chakula iko very expensive sana hapo.
 
Yaani nyumba nzuri bei rahisi hivi lakini nikiangalia google earth wengi wenu zaidi ya 80% ya jiji mnaishi nyumba za hovyo na kishamba kwa wingi., ina maana nyie ni mifukara kuruka .,
Nyumba nzuri bei rahisi ndio maana wenzenu wakija huku hawataki kurudi home maana maisha yao yameshakuwa upgraded na tunao wengi sana huku kwetu tunaishi nao kindugu japo wapo isivyohalali lakini hatuna shida nao. Shida inakuja nyie ambao hamjawahi toa mguu hapo kibera.
 
imagines in nigeria, pple live only 450m away from the Runway of a major International Airport dubbed the 3rd largest and busiest in africa 😆😆

see for yourself👇🏽
Screenshot_20220502-022602_Earth.jpg
Screenshot_20220502-022854_Earth.jpg
 
Back
Top Bottom