Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hvi huwa najiuliza hawa magaidi wanatoa wapi silaha ukichunguza vizuri kampuni zinazouza silaha nyingi zinatokea marekani na nchi za ulaya kama kwel wamarekani wanataka kupambana na magaidi waanze kwanza na hayo makampuni la sivyo wataendelea kurusha ngumi hewani
Ni kweli silaha zinapatikana virahisi sana. Kisha Somalia ni kubwa sana kulinda eneo lote la Somalia haiwezekani.
 
Haya ndio hao wanasema only 3M customers are connected to electricity in Tanzania. 🤣😂🤣🤣.

View attachment 2210290
Na tupo juu Africa kuliko ninyi 😂😂😂

Screenshot_20220503-205708.png


images (15).jpeg


images (17).jpeg


FMNr1IzXsAcjAiH.jpeg
 
Kuna fursa ya Tz kuuza Gas Europe baada ya wakubwa kubana white kununua Gas ya Russia....Sasa msije sema hamkusikia....izo $$zitaflow hapa Tz hadi basi
 
Ni kweli silaha zinapatikana virahisi sana. Kisha Somalia ni kubwa sana kulinda eneo lote la Somalia haiwezekani.

Swala sio ukubwa somalia swala ni kuzikontro izo kammpuni zinazotengeneza silahaa ziuze silaha kiholela holela wanunuzi wawe verified
 
Ndege ndogo zote JNIA ziko terminal 1 ambayo haiko kwa hiyo picha hapo.
JNIA ni level ya Eldoret airport 🤣🤣, how can a whole airport only have five planes in a day?🤣🤣😂😂
 
Dar hakuna stima. Si mnaona hawana aerial za TV au dish. Alafu nani amewai kuona hizi area usiku. Si munaona hata high mast lights za security haziko.
Kama nadangaya walete picha za hizi residential area usiku tuone.

Dar es salaam | Dar es salaam suburbs from the air | mbphillips | Flickr
 
Back
Top Bottom