Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani ipo jangwani!
images (51).jpeg
 
Burna Boy ameperform kwa sold out Madison Square Garden huko USA. Halafu malazy walikuwa wanashindana na Nigerians kwenye mziki. Wanadhani Konde Boy na yule womanizer jina nimesahau lakini inaanza na D wanaweza kushindana na Nigerians??



Burnaboy ni mkenya.? 😂😂😂, Acha shobo na Nigerians , hii battle ya mziki is between wao na sisi, this is non of your concern .. endeleeni kukimbia uko kwenu 😂😂😂
 
Wacha kulazimisha upuuzi wako we makalio, facility mpya kama hiyo ikose kuwa na markings 👇 JNIA at nightView attachment 2206232View attachment 2206249View attachment 2206252markings zipo kila mahali 👇View attachment 2206258😂😂😂 ukiona unaumia chomoa
Jamaa Mpumbavu sana! Japokuwa kila siku JKIA inatuma ndege kutua KIA na JNIA rada yao na landing navigation equipments zao zikibuma JKIA, yupo humu ku-propagate lies!


 
Back
Top Bottom