Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkunya hawezi kujenga jengo lolote sababu akili ya kujenga hawana wakati Tanzania majengo mengi marefu na makubwa yamejengwa na Watanzania wenyewe
Times Tower inamilikiwa na watanzania?
UAP Tower inamilikiwa na Watanzania?
Britam Tower inamilikiwa na watanzania?
KCB tower inamilikiwa na watanzania?
Prism Tower ni ya watanzania?
Telposta Tower ni ya watanzania?
Parliament Tower ni ya Watanzania?

All the above buildings are 100% owned by Kenyans and they are among the tallest in the country so do your homework well before yapping
 
20220430_180502.jpg
 
Jina la jengo ni PSSSF tower nenda utafute nani mwenye alijenga ... Ni assignment ndogo nimekupa
Wewe umekuja kwenye hili jukwaa juzi. Kama ungekuwa huku kuanzia 2017,2018 basi hizi battle tayari tulishayamaliza. Wakenya walishapost evidence kwamba Mkenya ndiye aliyeidesign pssf tower yenu ambao ndio the most beautiful building in Tanzania.
 
JKIA ikona special boarding gate for A380 na 747-8 JNIA haina, si mitumia ngazi for this emergency landing. 🤣 🤣 🤣 🤣
Hata vyoo mnavyo kwa slums! Sasa kama runway haiwezi mudu A380 what's the point of having airbridges? Au una maanisha zile ramps? Plse Show me those gate! 🤣 🤣 🤣
 
Mkunya hawezi kujenga jengo lolote sababu akili ya kujenga hawana wakati Tanzania majengo mengi marefu na makubwa yamejengwa na Watanzania wenyewe
Ila pssf tower ilikuwa designed na Mkenya. Sasa kajinyonge basi. Kujenga hatuwezi kujenga lakini kuchora majengo tupo sawa. Hata bunge lenu la sasa limechorwa na Mkenya. Kwanza Mkenya mweusi sio Mwarabu.
 
Hata vyoo mnavyo kwa slums! Sasa kama runway haiwezi mudu A380 what's the point of having airbridges? Au una maanisha zile ramps? Plse Show me those gate! 🤣 🤣 🤣
JKIA ikona 4km runway na 60m wide. The longest in the region, wacha kujiletea aibu.
 
Back
Top Bottom