Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Anayeshobokea mwenzie ni nani kati ya Ke na Tz? Sisi tulitangaza national day of mourning kwa sababu Magufuli alikuwa rais madarakani alipofariki. Nyie nanyi kwa kutuheshimu sana mnadeclrare maombolezi kwa jamaa ambaye sio rais, yaani ameshastaafu. Sasa nani anamshobokea mwenzie?

IMG_1412.jpg
 
Niabu hata kuwaskiliza mnavyo jitutumua wafaa njaa nyie
Wewe hakuna place unajua Nairobi apart from Kibera. Na kibera ikona stima, Dar munaishi kwa giza.
Nibora uishi kwenye giza kuliko kuishi bila kujua kesho kama utamaliza kwa kupata hata kijiko cha kande[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]#hunger nation
 
Kwa Watanzania ambao hawajui hili, mazungumzo ya comprehensive peace agreement iliyofanya South Sudan kuwa nchi huru yalifanyika Naivasha, Kenya mwaka wa 2005. Mazungumzo hayo yalifanyika wakati wa Kibaki. Bila hayo mazungumzo South Sudan haingekuwa nchi huru au uhuru wao ungechelewa.
 
Kati ya Samia na Ramaphosa nani ana uzito zaidi? Heri rais wa SA siku zote kushinda rais wa Republic of Lazyland.
Na Samia mnamchukia? 😅😅😅
Leo kawa hana maana wakati ulisema ndio restorer wa mahusiano yaliyoharibiwa na Magufuli?
 
Na Samia mnamchukia? 😅😅😅
Leo kawa hana maana wakati ulisema ndio restorer wa mahusiano yaliyoharibiwa na Magufuli?
Nampenda Samia lakini Ramaphosa ana uzito zaidi kwa maana anatokea nchi nzito ya South Afrika.
 
Wakenya buana

Anamuuliza jambazi kuu alikua wapi wakati kibaka anaiba kuku 😅😅😅

 
Back
Top Bottom