Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna nchi inayozuia FDI kwasababu yoyote Ile, FDI mara zote inakuja Kama "complimentary not competition", Kila nchi inapambana kuvutia wawekezaji.

Tanzania tangu tupate uhuru tulikua hatujishughulishi Sana na kujenga uchumi, tulikua "busy" kujenga misingi imara ya taifa letu na kuzikomboa nchi za Africa

Hizo kazi zimekamilika, Sasa tunajenga uchumi. Ukweli ni kwamba 'Kenya time is over' ndio sababu kila kitu Kenya kinakua "upside down', ukiacha hiyo ya FDI, angalia biashara Kati ya Kenya na Tanzania, kwa miaka yote huko nyuma Kenya imekua ikiuzia Tanzania bidhaa nyingi zaidi, hivi Sasa 'Tanzania is the biggest exporter not only to Kenya, but to the entire region"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
aisee wadanganyika tumewazoea sana kwa kuabudu hako ka nchi kenyu maxkini na serkali yenyu. tanganyika is a 'Self Proclaimed Developed Nation'
 
Kenya Njaaa Tupu
IMG-20220425-WA0033.jpg
 

Nina uhakika wakikaa hapo chini kwenye hilo Foleni kwa kuepuka 3,214 Tsh , hilo wese atakalopoteza anaweza kulinunua kwa hela nyingi zaidi baadae . Kwa hiyo Gridlock anaweza kanguliwa gari pia akapoteza muda mwingine na gari ikienda garage anarudi kwenye matatu .
I thought rich people only care about time, Time is Money.
 
Chuki kati ya Kenya na Somalia huwa deep sana. Ukisoma comment section ya hii tweet utaona jinsi zaidi ya nusu ya Wasomali kwenye comment section wamekasirishwa na kitendo cha Villa Somalia ambayo ndio state house yao kutweet kwa kusema pole kwa kifo cha Kibaki. Kenya na Somalia hazitawahi kupatana.
 
Chuki kati ya Kenya na Somalia huwa deep sana. Ukisoma comment section ya hii tweet utaona jinsi zaidi ya nusu ya Wasomali kwenye comment section wamekasirishwa na kitendo cha Villa Somalia ambayo ndio state house yao kutweet kwa kusema pole kwa kifo cha Kibaki. Kenya na Somalia hazitawahi kupatana.

1650871985172.png


Hahaha

1650872031041.png


Hii chuki ni deep sana halafu Wazembe wa South wanasema eti Somalia inastahili kujiunga na EAC? cc joto la jiwe The Sunk Cost Fallacy
1650872169987.png


Wanatokwa na povu kama ya Omo

1650872496409.png
 
Back
Top Bottom