Why don't you guys empower your kunyaland artist. Hata huyo Willy Paul nilimjua baada ya kuimba na Nandy . Kitu kivuli hakijifichi mbona wahu , nameless , prezoo, nazizi waliokua famous hata Tanzania ? Generation ya sasa ya kikunya mnaiga sana nje ndio maana mziki wenu haupenyi huwezi waiga nje ukawazidi . Sauti soul wanafanya vizuri kwa sababu mziki wao ni mzuri . Lakini industries ya mziki bongo imekua kubwa sana huwezi linganisha na kunyaland . Fikiria msanii wa Colombia kama maluma anafanya collabo na wa bongo ndio ujue mziki wa kibongo umesafiri sana
Nigeria mziki wao umetuzidi pia unasaidiwa na wa Nigeria wenyewe wapo huko nje wamesafiri miaka mingi sana . Wamejaa nchi nyingi duniani ndio maana rahisi wenyewe kupata promotion na kujaa kokote . Jamaa wamezagaa kuanzia Afrika hadi ulaya . Huku bongo wanacheza soka kwenye timu kama coastal union na nyingine ndogondogo