Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

upload_2017-8-25_10-5-7.jpeg
 
COLLOH-MZII RELOADED Hizi flyover zenu barabara zake zinaendaje? Hio black car hapo mbona kama inaingia wrong direction? Hata muundo wa junction hauoneshi kama anaruhusiwa kwenda huko anakoenda....

f3e4475a0a4f3035ec4b40d8bdf0d70f.jpg
yaani kumekaa kiboya kweli...tena hiyo si fly over wamelazimisha mambo kwa kuchimba chimba ili load connector ipite hafu waite flyover

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Undeni hata 5 km ya 12 Lane ndio muongee na hiyo dar yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
tunatengeneza vitu kwa taratibu na sheria kulingana na uhitaji.....hatukurupuki.......every ting happen nigga.....taratibu vyote hivyo vishapitishwa...usiwaze vitu hizo tunavitupilia huko mbali pembezoni mwa mji....

omba uhai usije kufa mapema na usijezeeka mapema kutokana na unywaji wa chang'aa ili uweze ona hatua za mapinduzi toka DAR CITY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom