Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kabisa na ukitaka kujua hili ngoja vita viwe cancelled kama huyo jamaa president wao ataendelea kuwepo wananchi wakirudi ukraine kwenye nchi yao lazima wataandamana kwa kutomtaka tena,,

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
watu wanajisahaulisha tuu 2014 majimbo 9 ya ukraine walfanya maandamano kujiunga russia(kama ntakuasawa ni cremea tuu ilfanikiwa) hii inakupa maana gani?

■hali ikiendelea hivihivii 6month mfululizo ulaya itakuaje?
 
The fact that you compare Kenya's uswazi with your CBD and most developed part of Dar tells it all. Dar CBD has nothin on Nairobi CBD.
usirukeruke ka imepenya kwa mpalange....
the point is ....weka concretejangle kama hii👇kelele za nn we mkunya?
20220405_071344.png
 
So Dar has nothing to show outside Posta? Unaitishwa fire station wewe unapost CBD, are you really functioning well?
sa skiliza em waite wakunya wenzzio woooteee kisha waambie pan'gan'ga mingi haisaidii 'na mm nawaambia eneo lilojengeka vizuri nairobi halizidi saizi buza
 
A big chunk of our budget goes to development expenditure thats why we are able to finance our sgr, build hydroelectric dams buying planes by cash, building health facilities and improving roads etc. You will be a fool to think we are the same.

If that was the case, your tax revenue should now be exceeding Kenya's.
Yet every year, KRA collects the equivalent of Tanzania, Uganda and Rwanda combined.

Kwani hio 'development' yenu haitranslate into citizen's wealth? After all, we share the same VAT percentage.
 
usirukeruke ka imepenya kwa mpalange....
the point is ....weka concretejangle kama hii[emoji116]kelele za nn we mkunya?View attachment 2176308
Bro... Hatimaye Leo tumeifunga hii thread... Umeua jombii...[emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]


Tumewagusa gusa na kuwapapasa wakajaa tukaingiza bao moja na wazungu mamilioni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91]


Woyoo


Wakunya leteni hiyo ....


Asante sana mkuu....
 
Who told you Kenya doesn't have reserves? We have more fuel reserves than your country. Again, traders are the ones doing hoarding, be it wholesalers or retailers. Even in Tanzania sometimes back something like that happened with sugar.
Hivi ninyi mpo na akili au mavi vichwani mwenu?, Rais wenu ameamua kuruhusu bajeti ndogo)mini budget) ili kununua mafuta kufidia upungufu wa mafuta nchini mwenu, bado mnashikilia ujinga wa wafanyabiashara kushikilia mafuta, wewe na Uhuru Kenyatta nani anajua zaidi?
 
Changing goalposts as always. If you knew we were discussing relationship between GDP and fuel crisis why then did you bring issues to do government projects, poverty rate and such? Why didn't you stick to the topic of discussion which was fuel shortage?

About Uhuru's move, has Kenyan GDP become bigger overnight now that fuel crisis is about to come to an end following Uhuru's move? I repeat again, you think you know so much yet you know so little
Sasa unajua uhusiano Kati ya GDP na upungufu wa bidhaa muhimu nchini Kama mafuta, muhimu ni kwamba umejifumza kitu kipya
1) Relationship between GDP and fuel shortage
2)Government mitigation plan, when, how and why is important in situation like this.

Next time you must be humble and listen for the intention of learning not for the intention of answering
 
Even Magufuli's chicken can't be treated in Kenya, you are hospitals are too inferior for any sane Tanzania to be treated in Kenya[emoji23][emoji23][emoji23]
Magufuli begged to be brought in Kenya for treatment.[emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Hivi ninyi mpo na akili au mavi vichwani mwenu?, Rais wenu ameamua kuruhusu bajeti ndogo)mini budget) ili kununua mafuta kufidia upungufu wa mafuta nchini mwenu, bado mnashikilia ujinga wa wafanyabiashara kushikilia mafuta, wewe na Uhuru Kenyatta nani anajua zaidi?
Tunanunuaje mafuta na tuko na reserve? Is your brain helping you?

1648910723564.jpg
 
Wenye akili who believe that Kenya's GDP has now become bigger overnight just because of Uhuru's move. If our GDP was smaller until yesterday and that's why we were faced with fuel shortage, hiyo pesa Uhuru alitia saini sasa ni nyinyi wenye uchumi dhabiti ndio mlitupatia?
Kwasababu ninyi mpo na akili ndogo, hatuchoki kuwaelimisha, tuliwauliza kwanini GDP yenu kubwa haisaidii kuondoka tatizo la mafuta, ninyi mkawa mnapinga kwamba hakuna uhusiano wowote Kati ya GDP na upungufu wa mafuta nchini, Sasa Uhuru amewaumbua kwa kuwaonyesha kwamba, serikali inawajibika kutumia it's GDP kutatua matatizo Kama hayo[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom