Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hivyo hio $600 million pesa mnayopata kwa kuexport bidhaa Kenya ni takataka tu sio? Nyie hamuhitaji hio pesa kwa sababu nyie ni matajiri sana sio? Halafu wacha kusema kwamba Kenya haina umuhimu wowote kwa Tanzania. Bado trade statistics ya TZ ya 2021 haijatoka. Ikitoka nakuhakikishia kwamba Kenya itapanda kwenye jedwali hilo. Tangu Magu aingie Kenya ilianza kuteremka kwenye jedwali hilo kwa chuki na madharau aliyokuwa anatufanyia. Anyway tungoje tuone data zikitoka, Kenya lazima itapanda sana kwenye jedwali hilo, baada tu ya mwaka mmoja wa mama kushika usukani.
Kama biashara Kati ya Kenya na Tanzania ilidorora kwa sababu ya Magufuli, vipi kuhusu biashara Kati ya Kenya na Uganda mbona inazidi kudorora?, au Magufuli amehamia Uganda?.

Ninyi wakenya ni watu wakorofi Sana, mnakorofishana na kila jirani yenu, ninyi mnahitaji watu wenye vichwa maji Kama Magufuli, hamna ustaarabu hata kidogo, mnajifanya wajuaji wa kila jambo, hovyo Sana ninyi.

Sijasema kwamba hiyo $600M tunayopata ni kitu kidogo, ninachosema ni kwamba, Kati ya Kenya na Tanzania, Kenya ndio inafaidika zaidi, kwasababu ninyi mnaokoa maisha ya wananchi wenu ambao wengi wangekufa kutokana na njaa. Hivi utalinganishaje $600M na maisha ya binadamu, kipi ni muhimu zaidi?, Viwanda vyenu vingi vitafungwa na uchumi wenu kusambaratika kabisa.

Kenya ninyi sio wastaarabu kabisa, biashara Kati ya Kenya na Uganda ilikua imesimama vizuri Sana, Mimi mwenyewe nilikua ninashangaa kwanini Uganda chini ya M7 ambaye kimsingi Tanzania ndiyo ilimuweka madarakani lakini anafanya biashara zaidi na Kenya kuliko sisi, kabla hata sijapata jibu, Kenya mkaanzisha fujo bila sababu za msingi, matokeo yake biashara Kati ya Uganda na Kenya inakaribia kufa kabisa. Wakenya lazima mjiulize na mjirekebishe, sisi tupo SADC, mkituzingua tunawaacha na kwenda SADC, ninyi zaidi ya sisi hapa Afrika, nchi gani nyingine mnayoitegemea zaidi?
 
ichoboy01 baada ya wajinga wa Russia kushindwa vita na kulazimika kuondoka Kiev, waliamua kuuwa raia wengi kwanza kabla ya kuondoka. Hio ni njia yao ya kutoa machungu na hasira kwa kushindwa kuiteka Kiev na kulazimika kuondoka na kurudi Russia.


urhhehe sasa sunction za nn tena simulisema
russia kaondoka kyiev 🤣🤣🤣🤣🤣
 
shida tu ni venye kila kitu kizuri tz ipo tu dar, dar na dar pekee...... kwingine kote ni vichakani
kaa mkao wa kula sasa hili ni solo la mwanza liko zaidi ya asilimia 65 kwenye ujenzi musije kusema airport tu
05EBE7B5-82F9-4F8F-9DE4-B62139D5BE9E.jpeg


 
mtwara kuna 3 bearths, two of them are new na ni 300m each najua hutaamini

eti dar ina 150 to 180 kwei adui muombee njaa

hio ro ro bearth pekee ni over 320m na ni yamagari pekee
Mtwara only have two berths, usidhani kila mtu ni mjinga hapa. Alafu hata ukijumuisha mtwara, Tanga na Dar bado hazifikii Mombasa
 
Dar port handles 16M tonnes, Mombasa is handling 34M tonnes.
dar in over 20m na hii ilikua 2019 sasa tunaelekea 25m

mombasa inapakua mzigoa wa 29m tons na kuna vichochoro vya bearth 22 🤣🤣🤣🤣

hvi bado tunashindana humu ndani hata dalili yakua munaanguka kiuchumi hamuioni
 
dar in over 20m na hii ilikua 2019 sasa tunaelekea 25m

mombasa inapakua mzigoa wa 29m tons na kuna vichochoro vya bearth 22

hvi bado tunashindana humu ndani hata dalili yakua munaanguka kiuchumi hamuioni
Kwani unajua kuliko TPA wenye wanasema Dar handles 16M tonnes of cargo?

Screenshot_20220403-125643.jpg
 
Back
Top Bottom