Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

siku mombasa ikivunja record hii nitag nifunge acc 🤣🤣🤣👇👇👇👇

Biggest ship ever received by Dar which is 199 meters Vs Biggest ship ever received by Mombasa which is 300 meters. Lanes please 😂😂🤣👇👇

Screenshot_20220403-130118.png


Screenshot_20220403-130358.png
 
Teargas ngoja nikupe elimu kidogo, tanzania inaziendeleza bandari za tanga na mtwara lengo kubwa likiwa utegemezi wa bandari tanzania usiwe dar port pekee na hilo ndio lengo kubwa ndio maana unaona tanzania inatumia over 1b usd ku expand mwara na tanga port kwa pamoja 🤣🤣🤣
Hizo bandari zote zikiunganishwa pamoja hazifikii hata nusu ya Mombasa 🤣🤣😂🤣
 
na hii ni tanga port ikipokea meli kubwa ya mafuta kutoka saud arabia 🤣🤣👇👇👇

Meli ya 150 meters?😂😂🤣🤣 Lamu port is less than a year and already it has received a ship measuring 294 meters. Bigger than what Dar has ever received.
 
Meli ya 150 meters?😂😂🤣🤣 Lamu port is less than a year and already it has received a ship measuring 294 meters. Bigger than what Dar has ever received.
ukhekhhekhe nani alikwambia ni 150m 😂😂 mzee wa assumption
 
Mombasa has more bridges than Dar
Mombasa has more flyovers than Dar
Mombasa has more interchanges than Dar
Mombasa port is twice bigger than Dar port.
Mombasa real estate is better than that of Dar.
Mombasa has a ship building company, Dar has zero.
Mombasa has better and wider roads than Dar.
Mombasa CBD roads had no potholes like Dar.
Mombasa has bigger modern markets than Dar.
Mombasa had cruise ship terminal, Dar has none.
Dar is richer than mombasa by far
 
Hizo bandari zote zikiunganishwa pamoja hazifikii hata nusu ya Mombasa 🤣🤣😂🤣
ww tanzania huwez kuipenda kwasababu ndio jadi yenu 🤣🤣🤣🤣 hamuna mbaya wenu kwenye maendeleo kama tanzania
 
point kuu ni kua 🤣🤣🤣👇👇👇👇
Point kuu ni kuwa Mombasa handles 34M tonnes while Dar is only handling 16M tonnes 🤣🤣😂😂
 
Back
Top Bottom