Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hawa ni watu na heshima zao au ni maabusu.
upcoming millionare (in TzShs) aganza come here
Tanzania+BRT.jpg
 
Wewe huna exposure a.k.a Mshamba, hujawahi toka nje ya mipaka ya Kenya,
Hao hapo wengi wameacha their private cars home na kuopt BRT.
piga picha stamp ya passport yako tuone umefika wapi na wapi.
unaweza kuacha gari lako mwenyewe nyumbani kisha kwenda kunukishana majasho na kupigana makumbo na vichwa kwenye public vehicle kweli??? are you serious???
 
piga picha stamp ya passport yako tuone umefika wapi na wapi.
unaweza kuacha gari lako mwenyewe nyumbani kisha kwenda kunukishana majasho na kupigana makumbo na vichwa kwenye public vehicle kweli??? are you serious???
Unajua sababu ya kuacha magari nyumbani the only reason ni foleni sasa kama akipanda Brt anatumia dakika 10 na akienda na gari lake anatumia 1 hr huoni ame save time
 
piga picha stamp ya passport yako tuone umefika wapi na wapi.
unaweza kuacha gari lako mwenyewe nyumbani kisha kwenda kunukishana majasho na kupigana makumbo na vichwa kwenye public vehicle kweli??? are you serious???
Umelogwa wewe, yaani nikutumie passport yangu boya wewe..
Nimeshapiga misele Ulaya, Asia, Africa karibu nchi Tano tofauti na EAC, hapo nairobi nakuja Mara kwa Mara, Na mwezi ujao nakuja.
Vipi wewe?
Kitu ambacho huelewi ni hizi BRT huokoa muda na gharama za mafuta kwenye jams,
Badala ya kuendesha gari yako KM30 unakaa 2hrs kwenye Jams na Kutumia mafuta mengi,
Unaweza commute Bus kwa 30mns ukifika CBD,
Pia sehemu hizi gari zinaanzia safari kuna parkings kabisa, watu huacha gari zao hapo..
 
Unajua sababu ya kuacha magari nyumbani the only reason ni foleni sasa kama akipanda Brt anatumia dakika 10 na akienda na gari lake anatumia 1 hr huoni ame save time
Crap!
tell this to the birds... tz kuna magari gani????? kama mikokoteni pia ni magari, sawa.
 
Umelogwa wewe, yaani nikutumie passport yangu boya wewe..
Nimeshapiga misele Ulaya, Asia, Africa karibu nchi Tano tofauti na EAC, hapo nairobi nakuja Mara kwa Mara, Na mwezi ujao nakuja.
Vipi wewe?
tutajuaje kama umefika sehemu hizo zote kaka? toa passport yako, piga picha pages ziko na stamp uzianike hapa.... hata mm pia nitoe yangu nikuoneshe stamps
 
Wewe huna exposure a.k.a Mshamba, hujawahi toka nje ya mipaka ya Kenya,
Hao hapo wengi wameacha their private cars home na kuopt BRT.
Eti uache gari lako nyumbani uende kazini ukiwaumesimama kwenye hayo mabasi?that one does not make sense
 
Umelogwa wewe, yaani nikutumie passport yangu boya wewe..
Nimeshapiga misele Ulaya, Asia, Africa karibu nchi Tano tofauti na EAC, hapo nairobi nakuja Mara kwa Mara, Na mwezi ujao nakuja.
Vipi wewe?
Kitu ambacho huelewi ni hizi BRT huokoa muda na gharama za mafuta kwenye jams,
Badala ya kuendesha gari yako KM30 unakaa 2hrs kwenye Jams na Kutumia mafuta mengi,
Unaweza commute Bus kwa 30mns ukifika CBD,
Pia sehemu hizi gari zinaanzia safari kuna parkings kabisa, watu huacha gari zao hapo..
nyorosha hiyo nyang'au kaka....
 
Eti uache gari lako nyumbani uende kazini ukiwaumesimama kwenye hayo mabasi?that one does not make sense
imagine bro. what's the point of having a car then? kisha saa io umefika destination unaenda dukani kununua painkillers
 
imagine bro. what's the point of having a car then? kisha saa io umefika destination unaenda dukani kununua painkillers
Nimeshagundua, wewe huna gari,
Una ndoto ya kumiliki gari, anyway, ukishakuwa na Gari utagundua wala sio big deal, siku ukiwa na safari ya haraka na hutaki kero za kutafuta parking especially kwenye miji yetu hii kama kariakoo basi utaacha na kutumia BRT au Uber.
Kwa wale wanafanya kazi Posta na wanaishi Kimara, mbezi au Kinondoni au Mikocheni wameshaelewa.
 
Back
Top Bottom