Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanza wamemchelewesha Sana alitakiwa kufukuzwa kitambo Sana.

Huyu ndio alikuwa anamtumia slow slow na Ndugai kumpinga mama.

Aliwahi Pinga mradi wa Bagamoyo kwa kisingizio cha eti haumo kwenye ilani,we nani unampinga Mwenyekiti?

Safi sana kila mtu apange safi yake

View attachment 2170379
Mkuu mengine yaacheni yapite.Mangula kaamua kupumzika miaka 81 sio kitu rajisi kukaa madarakani after all mzee yupo na kilimo sana kwa sasa.
 
The City.
1648787255630.jpg
1648787277299.jpg
 
Yani JNIA soon inakwenda kuzidiwa kwa idadi ya abiria, soon itatambulika kama the hub of East and Central Africa, wenye wivu wajinyonge

 
Back
Top Bottom