ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
😀😀😀😀😀😀 maisha magumu wala sio umaarufuachana nahuyo pengine anatafuta umaarufu kama vile githeriman...
😀😀😀😀😀😀 maisha magumu wala sio umaarufuachana nahuyo pengine anatafuta umaarufu kama vile githeriman...
hapo ndipo tunapogundua kama lewis ni mvuta bangi ni mtafunaji maarufu wa milungi pale dandoraDar is Slum's Urinals
View attachment 572448
Cheers!hapo ndipo tunapogundua kama lewis ni mvuta bangi ni mtafunaji maarufu wa milungi pale dandora
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimekuelewa vizuri sana..Ni kweli sisi hiyo ni ngeni kwetu kama ujuavyo tz ilikuwa nchi ya kijamaa na Kenya ya kibepari ikimilikiwa na wakoloni mpaka Leo wakiendelea kuitawala Kenya kwa kila kitu mawazo uchumi ,lugha na fikra. Huwa nacheka sana ninapoona watumwa wa Kenya mkijivunia kiingereza. Wanachotaka kueleza watanzania Ni kwamba pamoja na mambo ya apartments na estates kuwa mageni ila kwa speed walionayo wanakila sababu ya kujivuna ukilinganisha na nyie kuwepo huko kwa muda lakin bado mna mabanda ya kutosha. Kwa msio jua Kenya Hawa wote mnaochati nao humu wakenya hawana uwezo wa kumiliki ardhi wala kuwa na nyumba. Maisha yao yote ni kupanga ndio maana sekta ya ujenzi huo inakuwa tofauti na watanzania kila MTU ana uwezo wa kumiliki ardhi na kujenga atakavyo ndio maana changamoto ya miji isiyopangika Ni kubwa. Nilikaa Kenya nikafanya kautafiti kangu nikagundua wazungu wanaimiliki hiyo nchi waKenya ni wapangaji hata hizo apartments nyingi wajenga wazungu na wasomali wakenya Ni wachache sana ambao ni wamiliki na sababu hao wachache unakuta walikuwa watumishi wa serikali wakafisadi ,si mnajua rais wenu anamiliki kiasi gani. Samahani ukweli huwa unauma ukiambiwa na mtu anaekujua vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakichaa ww, itawachukua miaka zaidi ya 20 mje kua na brt. ...Dar is Slum's Urinals
View attachment 572448
Naaah! Fk this shi+.
yellow maize inaliwa na binadamu au ng'ombe?repost:
moja kati ya raha ya LDC ni uhakika wa upatikanaji wa chakula (guarantee to food security).
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
+kunguni umesahau 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Naaah! Fk this shi+.
we don't need no brt in Nairobi. we do have our Matatu Culture and are very proud of it. From the Graffiti to the Interior Designs, Leather Seats, Woofers, Tv Screens et al.... who needs brt shi+
Employed pekee ndio wanaolewa?Hayo ndio matunda ya unemploument in kenya
View attachment 572414
Ushai ona kunguni kwa ndege? pengine dar.+kunguni umesahau 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
sisi tunajua kunguni kwenye matatu za nairobi pekeake😀😀😀😀😀😀Ushai ona kunguni kwa ndege? pengine dar.
Hii maize inakaa mbayarepost:
moja kati ya raha ya LDC ni uhakika wa upatikanaji wa chakula (guarantee to food security).
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
we uaonaje????😀😀😀😀😀😀Employed pekee ndio wanaolewa?
sent from iPhone 7
unafahamu kuwa kunguni hupenda sehemu zina joto na sio Nairobi.+kunguni umesahau 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Asante sana😀😀😀😀unafahamu kuwa kunguni hupenda sehemu zina joto na sio Nairobi.