tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Reli,roads mmh mtakuja kubaki historykumdanganya kivipi? tunawaambia reli inakuja...ndio hio imefika...tukawaambia tutaleta barabara ya thika road...sasa hivi ndio barabara bora afrik mashariki nzima..mombasa port ndio port kubwa ukanda huu...airport yetu pia..wakati mmenunua nedege bombadier zafanana na mitungi ya chang'aa lol! huwa mnachekesha sana mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
