Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna watu watanuna wakisikia chanjo 😆😆

Screenshot_20220324-090821.png


Screenshot_20220324-091041.png
 
You will continue with your dream while Tanzania takes over the whole East Africa by storm, remember Tanzania is the biggest Exporter to all countries in East and central Africa, including Kunyaland, we export more than what you sell to us, and the trend will get worse on your side this year[emoji28][emoji28][emoji28]
Tanzania is not the biggest exporter in East Africa. Remember Tanzania only export $811M to East African countries while Kenya Export $1.4B.
 
Mimi nimeshinda nikisema kwamba Nigeria ni uchumi mkubwa lakini baadhi ya Watanzania wamekuwa wakipingana na mimi. Jana Dangote Fertilizer plant imezinduliwa rasmi. Hii ndio the biggest fertilizer plant in Africa. Baadaye Dangote refinery ambayo itakuwa the biggest refinery in Africa pia itazinduliwa.

 
Tanzania is not the biggest exporter in East Africa. Remember Tanzania only export $811M to East African countries while Kenya Export $1.4B.


Kenya haiwezi shindana na Tanzania, wacha kupika data na uanze kukubaliana na ukweli, punguzeni ujinga
 
Mimi nimeshinda nikisema kwamba Nigeria ni uchumi mkubwa lakini baadhi ya Watanzania wamekuwa wakipingana na mimi. Jana Dangote Fertilizer plant imezinduliwa rasmi. Hii ndio the biggest fertilizer plant in Africa. Baadaye Dangote refinery ambayo itakuwa the biggest refinery in Africa pia itazinduliwa.

Hivi kwanini Dangote hataki kuwekeza Kenya?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nimeshinda nikisema kwamba Nigeria ni uchumi mkubwa lakini baadhi ya Watanzania wamekuwa wakipingana na mimi. Jana Dangote Fertilizer plant imezinduliwa rasmi. Hii ndio the biggest fertilizer plant in Africa. Baadaye Dangote refinery ambayo itakuwa the biggest refinery in Africa pia itazinduliwa.


JPM killed this project!
Hivi kuna industry au infrastructure Kenya (local or GoK owned) ambayo ni largest in Africa? Plse usinitajie Mpesa au tea!
 
Back
Top Bottom