Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

DHVVdre_Ws_AA8ic_Q.jpg

__________________
19985199_446345389082260_8347357665210400768_n.jpg

__________________
19535451_1975130769423659_5456716225415479296_n.jpg



source
__________________
hapo hawataweza
 
avic imefika 5th floor...pinnacle wamemaliza kichimba shimo...the deepest ever...lol! namba mtasoma
hahaha hass ikwapi au bado wanachimba leo 4 yrs 😀😀😀😀😀😀😀
kuchimba sio kujenga my friend unaeza kuchimba na ikabaki shimo hata 20 yrs🙄🙄🙄🙄
namba mbona zinasomeka
 
uganda washajiunga na tanzania muda sana 😀😀😀😀😀
kwa pipeline ndio ila kwa reli bado...hehe...mnatumia mabillioni kupeleka mizigo kanchi kadogo ka rwanda...lol! whats the use of that expensive railway...atleast ours inapeleka mizigo kwa market ya 40 million people plus...sudan kusini pia watajiunga,...nyie eti rwanda na burundi..lol!
 
hahaha hass ikwapi au bado wanachimba leo 4 yrs 😀😀😀😀😀😀😀
kuchimba sio kujenga my friend unaeza kuchimba na ikabaki shimo hata 20 yrs🙄🙄🙄🙄
punguza ushamba mingi bro...hass ndio pinnacle...walibadili jina ikawa pinnacle...lol! completion date is dec 2019 but the shorter building will be completed sooner...hoho
 
punguza ushamba mingi bro...hass ndio pinnacle...walibadili jina ikawa pinnacle...lol! completion date is dec 2019 but the shorter building will be completed sooner...hoho
asante kwa information wow 4 yrs wanachimba shimo😀😀😀😀😀😀😀
big white elephant🙄🙄🙄🙄🙄
 
hahaha hass ikwapi au bado wanachimba leo 4 yrs 😀😀😀😀😀😀😀
kuchimba sio kujenga my friend unaeza kuchimba na ikabaki shimo hata 20 yrs🙄🙄🙄🙄
namba mbona zinasomeka
sioni haja ya kuchimba shimo kubwa hivyo kisha kuiwacha...hawa jamaa wako tayari..kisha unakumbuka jengo lenyewe ni ya waarabu...Dubai...mbona wamejenga mingi kwao...
 
asante kwa information wow 4 yrs wanachimba shimo😀😀😀😀😀😀😀
big white elephant🙄🙄🙄🙄🙄
umekunywa changaa ama? lol! eti 4 yrs wamechimba shimo? in 2014 it was a Proposed building...
 
sioni haja ya kuchimba shimo kubwa hivyo kisha kuiwacha...hawa jamaa wako tayari..kisha unakumbuka jengo lenyewe ni ya waarabu...Dubai...mbona wamejenga mingi kwao...
hahahaah endeleeni kuchimba tu sisi tunahesabu miaka tu😀😀😀😀😀😀
kumbuka hii sio nairaland hakuna wakumdanganya hapa
 
hahahaah endeleeni kuchimba tu sisi tunahesabu miaka tu😀😀😀😀😀😀
2019 ndio mtasoma namba....yaani mpaka johannesburg wameanza kutetemeka...wacha nikuletee link flani ya waafrika kusini walivolalamika...
 
Back
Top Bottom