Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Putin anaendelea kuharibu nchi yake. Ameamua kunationalize 500 leased aeroplanes bila kulipa leasor companies. Sasa nashangaa anafikiri nani siku za usoni atakuhali kulease ndege to a Russian airline ikiwa wanafanya wizi wa wazi namna hii? Hii ndio njia rahisi ya kufukuza investors.
 
1647334127182.png
1647334264175.png
1647334287829.png

 
Well if i were u i would desist from believing until i see official mobilization and inauguration







Last time, i heard of the same story was 2019!



If the construction is to start it will be the first cable stayed bridge in Kunyaland while in Tanzania we r having over 5 of such structures!

BTW design keeps changing...

CC: Tony254 n ichoboy01 know better!
So Bongolala has 5 cable-stayed bridges? 🤣🤣🤣
 
Putin anaendelea kuharibu nchi yake. Ameamua kunationalize 500 leased aeroplanes bila kulipa leasor companies. Sasa nashangaa anafikiri nani siku za usoni atakuhali kulease ndege to a Russian airline ikiwa wanafanya wizi wa wazi namna hii? Hii ndio njia rahisi ya kufukuza investors.
Kampuni za kutengeza ndege ni Marekani , Ufaransa na Canada . Hao wote wanavuna walichopanda. Maana wame freeze mali za watu
 
Hii sijui ni lorry ya nini imeanguka. Haionekani vizuri lakini nadhani ni maembe. Unaona dereva wa matatu anawajali abiria wake sana.
 
Putin anaendelea kuharibu nchi yake. Ameamua kunationalize 500 leased aeroplanes bila kulipa leasor companies. Sasa nashangaa anafikiri nani siku za usoni atakuhali kulease ndege to a Russian airline ikiwa wanafanya wizi wa wazi namna hii? Hii ndio njia rahisi ya kufukuza investors.

Rudisha zile yachts mlizo-confiscate! BTW niliuliza KQ haija-lease zile dreamnliners kwa any Russian Airline?
 
Back
Top Bottom