ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
yani muwape silaha raia alaf museme wasiuliwe ??? nani alimpa mamlaka ya kuwapa silaha raia ??? na nani aliidhinisha raia wapewe silaha ww unafkiri mrusi ni mjinga sana 🤣🤣🤣🤣Russia vita anayoweza ni ya kupiga na kuwa raia. Lakini vita vya kupambana na wanaume wenzao hawawezi. Kazi ni Nubia is watu wasiojiweza.

