Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Russia kama hujui bado ni developing country. Sio matusi wala kuidharau Russia, ni facts tu. Hata Uchina pamoja na mbwembwe zake zote na miji mizuri ya kupendeza bado ni developing country. Na sio kwamba tumeikosea Russia au Uchina heshima, ni facts tu tunazungumza hapa kwa unyenyekevu. Nchi ambazo bado ni middle income kama Uchina na Russia haziwezi kuitwa developed.
according to western propaganda lakini russia hata kwa technology za military na space hata america baba yenu anasubiri miaka 100🤣🤣🤣

yani nyinyi wazungu ndio wanakutueni ujinga miaka yote na ndio waliondoka na akili zenu
 
unao ushahidi kua ni za russia ukipata nitag😂
Hivi vifaa ambavyo vimepigwa kombora zimekuwa majivu jivu pia utapinga kwamba sio za Russia? Umeona BM-21 grad ya Russia kwenye picha ya tatu?
 
Hivi vifaa ambavyo vimepigwa kombora zimekuwa majivu jivu pia utapinga kwamba sio za Russia? Umeona BM-21 grad ya Russia kwenye picha ya tatu?

kwann ulete media za ukraine na je hujui kuna propaganda nyingi wamezitengeneza mpaka za kutangaza rais wao kaingia vitani na kumbe ni uongo zile picha zilipigwa two years back alipotembelea kambi ya jeshi?🤣
 
Fuata hizi nyuzi kwenye twitter ujionee. Kuna huyu anaitwa Rob Lee na kuna nyingine inaitwa Ukraine Weapons tracker. Utaona jinsi Russia anavyopigwa vita takatifu.

Akuna cha mana apooo hao hawachukui wiki mbili kazi itakuw imeishaaa
 
Back
Top Bottom