Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo ni mambo ya media babaa ..kenya is a very mature country ..huku usitu judge kwa yale unayaskia kwenye tv etc...we love each other na tuna umoja sana..we work together and we love one another....What we have in kenya is freedom of the media ..freedom of speech ...freedom of expression....Huku kenya hatusumbuliwi au kunyanyaswa na serikali kama tanzania...eti mtu anshikwa kwa sababu ya ku post sijui eti nani mgonjwa kalazwa kenya blabla.
Tanzania mnaumia sana kutuliko sisi ni vile tu kwenu ukifungua mdomo...utajua kilicho mtoa tundulissu manyoyaaaaaaaaaaaa
Nakwambia wewe tulia uone......
 
Now we are talking
Screenshot_20220210-121655_Facebook.jpg
 
Yote kwa yote EAC hakuna haja ya kushindana sisi kwa sisi , tuunganishe nguvu ukanda huu uwe na maendeleo kushinda Afrika magharibi na kusini kasoro Afrika kusini pekee
Bila kushindana sisi kwa sis hatuwezi kufika huko, mashindano ya kimaendeleo ndiyo mazuri cz wkt cc tunashindana kimaendeleo kuna nchi hapa Africa bado zinashindana kijeshi wakija kustuka sisi tuko mbali.
 
Update: Nairobi-Nakuru-Mau Summit road won't be built after all!





Vitu hujengwa kwa makaratasi... 🤣🤣🤷‍♂️🤷‍♂️
 
Update: Nairobi-Nakuru-Mau Summit road won't be built after all!





Vitu hujengwa kwa makaratasi... 🤣🤣🤷‍♂️🤷‍♂️
construction bado it is on course...it had nothing with cancellation...they wanted someone who can supervise the project ,tender ikafanywa but kuna wenye hawakufurahia..so wameanza a fresh...

 
Yote kwa yote EAC hakuna haja ya kushindana sisi kwa sisi , tuunganishe nguvu ukanda huu uwe na maendeleo kushinda Afrika magharibi na kusini kasoro Afrika kusini pekee
Kwann umeexclude S.A
 
Hiyo ni mambo ya media babaa ..kenya is a very mature country ..huku usitu judge kwa yale unayaskia kwenye tv etc...we love each other na tuna umoja sana..we work together and we love one another....What we have in kenya is freedom of the media ..freedom of speech ...freedom of expression....Huku kenya hatusumbuliwi au kunyanyaswa na serikali kama tanzania...eti mtu anshikwa kwa sababu ya ku post sijui eti nani mgonjwa kalazwa kenya blabla.
Tanzania mnaumia sana kutuliko sisi ni vile tu kwenu ukifungua mdomo...utajua kilicho mtoa tundulissu manyoyaaaaaaaaaaaa
utajua kilichofanya CCM kushinda viti 99.9% za siasa
 
Back
Top Bottom