Unawaombea jirani zako mabaya sioKumekucha sasa..odinga apewe haki yake
View attachment 561963
Sasa nichochee nini na mambo yanaonekana hapo
niambie best........maana Wakina Mzee wa iphone,wanjala,Mk254,Lewis254 wote wamerudi vijijini kwao......hakuna acess inayopatikana umeme.......wakija hapa kupiga lelele ujue wamerudi kibera area kwenye makazi yao ya kudumu ndiyo maana wapo kimyaMh ! Wewe![]()
![]()
![]()
Siwaombei ila odinga apewe haki yake tu lasivo sijui kama salama itakuwepo
Ichoboy naomba tuachane na habar za uchaguz, coz kama had watoto wamefarik thats too sad kwakwel, tuzid kuwaombea jiran zetu aman na utulivu, kwan kukiwa na machafuko hata Tz inaweza athirika kwa namna moja au nyingne.Kumekucha sasa
View attachment 561964
Serious inaskitisha sana ndugu....Ichoboy naomba tuachane na habar za uchaguz, coz kama had watoto wamefarik thats too sad kwakwel, tuzid kuwaombea jiran zetu aman na utulivu, kwan kukiwa na machafuko hata Tz inaweza athirika kwa namna moja au nyingne.
Tuendelee na battle letu mzee.
Sent using Jamii Forums mobile app