Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

uchaguzi wa kenya na vituko vyake
githeri man meme.
0aedc049a1b127ef06b7c294482c7a03.jpg
2c5b2f8fce45c0dd047eba2acac9ade2.jpg
8454009429fd74889b32996a3045c871.jpg
b93d3d34f205fd6f030b62cf1fc091f0.jpg
4974cbf547f4b5675f3f198a9435db74.jpg
8aff5b6f3f3740cfef2ddb7394e162df.jpg
52660633e01f03cf5ff690ee1c95d612.jpg
cc332a4304ff7f100210db1170b50bfe.jpg
d49f18926cff27356e265bb8e6a3c146.jpg
a7f6bafe6d23299b4130929feb4bb36a.jpg

noma sana, I'm really loving this, some priceless stuffs happening naturally.
 
licha ya kuwepo kwa hali ya kutupiana vijembe kwenye mitandao kati ya sisi watanzania na wakenya,watanzania tumedhihirisha ni kiasi gani tunawapenda jirani zetu.

tumedhirisha hili katika kushiriki kikamilifu kuwatakia wakenya salamu za uchaguzi mwema kupitia twitter,instagram,facebook na ma-group ya whatsapp yanayo waunganisha wakenya na watanzania pamoja.


hizi ni baadhi ya screenshot za watanzania nilizozi-capture facebook.
16e159c3addc4f565e5c64d0d3834765.jpg
c6015fa866349b0809c12a283b854a6c.jpg
9899ac40ee43164d884cc6efae20c7ca.jpg
92ee916c15e4c47eb9177828f28cbee0.jpg
94d753229201750865b9003e906635f6.jpg
49396e7c26d12925f0fc9e4c6597aa7b.jpg
2aa44ddbc8a37d26d7cd2c094ead4143.jpg
a14b3a878594b5e41bd73c6792c9fcc2.jpg
f4176b05ea8c1706c66a7ef6b41c15e7.jpg
c535fca601c97177c34eecf88eb6857b.jpg
0a0933c4328f114108c84263eba3ee31.jpg
ab0783c96e164ba1bba748ce4d78553d.jpg
a5f2b4ea4b22c688544a79385f880d05.jpg
8989f6a99f161d0f5c7bec0e2a8786b5.jpg
fa518b617ff5139538f237901842ce8b.jpg
umetisha .......sisi WATANZANIA hatunaga roho mbaya wao ndiyo wanafitina nasisi nakizuri kwa upande wetu watanzania hatunaga hata time endapo ukitusena......huwa tunafanyaga yetu.....

@NAITAKIA BARAKA NJEMA KENYA
 
tuachane na uchaguzi wa kenya,mshindi ashajulikana na maisha yanazidi kusonga mbele,hayasimami.mengine yatakuwa ni makelelw na rabsha za hapa na pale toka katika upande ulioshindwa.

turudi kwenye battle yetu.
beach life at kigamboni,dar city.
80dd81443c27ec7b8544f522598b72b4.jpg
90b1e5c52c8d984dfbd3d34b487b5ae9.jpg
8d4bc97831b236ff52410bf65bc7c269.jpg
c42c4230e4269be59f20a72b7a5e9e1d.jpg
e458ed32bfb9719e50a82636cc283b27.jpg
6b65bf1406c876caa8d819a8ed2d7adb.jpg
c3effe0b123a46b9ab22605dbc824f18.jpg
1867bf7de0f7dff32dc6575b3ac405f8.jpg
fc08390059f37f747cded8e84bb6fbfc.jpg
28d73ff4216a3428a5f6f967fed72f28.jpg
f5ed1153995dd7ba11be670b606272ed.jpg
28c398b39ba4fef2b6c86316bb41c179.jpg
 
siunajua pia kuna yule kijana MTZ mwenzetu aliyerudi bongo kwa uzalendo baada ya kukataa mshahara nafikiri kuna vingi sana vimezungumzwa....vyenye faida kwa taifa
Anataka kufanya investments tanzania
 
Back
Top Bottom