Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
yaani dawa ya mwizi nikumchoma moto tuIla Mzee wetu kweli anajua undava undava, na hii ndiyo dawa ya wakenya, jirani zetu hawa hawajui staha kabisa.
yaani dawa ya mwizi nikumchoma moto tuIla Mzee wetu kweli anajua undava undava, na hii ndiyo dawa ya wakenya, jirani zetu hawa hawajui staha kabisa.
Unajua wakenya mnaupuuzi wa asili,huwezi kukubali kua mpo nyuma ya iyo miji lakini unataka uniaminishe ujinga kwamba Nairobi ni pako mbele...mtafute mkenya mwenzio mkadanganyane....wacha watu wa shoot video wanakuona panawapendeza...ingekua kwenu pana level iyo video zote wange shoot kwnuDurban na Pretoria arent more developed than Nairobi. ... ..you and your inferiority complex worship South Africa alot....nowonder you shoot all your videos over there.Hahaha. ......Tukiongeza hadi the Urban Nairobi outside the city boundaries Joburg na capetown zinapumua tu kwelikweli
Hahaha you read the list vice versa... . ....savage

Let's wait 4 the second phase...Dar Es Salaam Rapid Transit System![]()
ukweli unawauma sana....apart from you jealous Tanzanians no normal person can dispute Nairobi's dominance in the region. .... hata list unasoma vice versa. .... Lol. Nairobi has like 50 flyovers and footbridges. ... ..tembea ujionee. .. ..not your usual "Nairobi napajua lies "
Let's wait 4 the second phase...
hawa machalii wanadai brt haifai nairobi...is it true Au wanajifariji?
Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa kweli ni mwehu hiko kijiji chenu cha nairobi unacompare na durban S.A ......level ya nairobi ni mshindane na malawiDurban na Pretoria arent more developed than Nairobi. ... ..you and your inferiority complex worship South Africa alot....nowonder you shoot all your videos over there.Hahaha. ......Tukiongeza hadi the Urban Nairobi outside the city boundaries Joburg na capetown zinapumua tu kwelikweli
nimecheka sana huyo jamaa ni chokoraa sanaAre you even serious?
hawana akili haoJesuuu
Unaijua Cairo wewe ..unaijua Casblanca ..algeris ...au unajifanya huoni ..hamna matata wala matatu kule ...![]()
kuja na statistics kwenye meza. ni Casablanca na Algiers btw.... Algeria kuna vita, Casablanca sioni zaidi ya passenger train yao. Cairo, population na towers... hawako mbali.Jesuuu
Unaijua Cairo wewe ..unaijua Casblanca ..algeris ...au unajifanya huoni ..hamna matata wala matatu kule ...![]()
So nairobi is far ahead of casablanca and cairo ryt?????😀😀😀😀😀😀😀😀😀kuja na statistics kwenye meza. ni Casablanca na Algiers btw.... Algeria kuna vita, Casablanca sioni zaidi ya passenger train yao. Cairo, population na towers... hawako mbali.
Wee JAMAA nahisi unakunywa pombe za kienyejikuja na statistics kwenye meza. ni Casablanca na Algiers btw.... Algeria kuna vita, Casablanca sioni zaidi ya passenger train yao. Cairo, population na towers... hawako mbali.
East Africa bado tunajikongoja....uache kujifariji na thika highway, ni vitu vidogo sana kwa waliotangulia...Ila sijui nisemeje mnajitahidi lakini bado hamko topkuja na statistics kwenye meza. ni Casablanca na Algiers btw.... Algeria kuna vita, Casablanca sioni zaidi ya passenger train yao. Cairo, population na towers... hawako mbali.
kuja na statistics kwenye mezaSo nairobi is far ahead of casablanca and cairo ryt?????😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Wala Dar sio ugly ...Lagos ofcz pale walizingua. ..Cairo too old I don't know how to name itcairo ni ugly sana...
kama tu dar na lagos
Algiers ni very beautiful
jibu swali langu kwann unauliza swali juu ya swali😀😀😀😀😀😀kuja na statistics kwenye meza